Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Kwa uangukaji ule lazima kuna damageSijaelewa hata kama kulikuwa na Ulazima wa kumpiga hivi au angeweza tu kumsogeza pembeni kistaarabu
I hope yuko salama aliyepigwa[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]View attachment 2904982
Nimeona hata jirani zake hawajathubutu kumusaidia kuinuka ni kama nao wanashangaa