Raia muombolezaji apigwa ngumi na mlinzi wa msafara wa Lowassa

Raia muombolezaji apigwa ngumi na mlinzi wa msafara wa Lowassa

Hiki ni kiburi cha hali juu. Mwili wa Lowassa una thamani kuliko mtu aliye hai. Kwanza kuna mantiki gani ya kukimbia pembeni ya gari utadhani wamebeba kitu cha thamani sana? Kwa upande wa pili wa shilingi. Na sisi raia tumezidi ukondoo. Watu kama hawa wanapofariki kwa nini tusijikalie nyumbani ili wajue kuwa hatuwathamini kama wasivyotuthamini?
Nai-pin hii comment yako.
 
Kipindi cha jiwe msafara wake ilikuwa mara ya mwisho kupita geita, sasa zile escorts kabla yeye hajapita ilipita cruiser v8 ya wanajeshi ikamfata boda alikuwa anaendesha pembeni ya barabara ikampa kitu, kisha wakashuka kumtizama amesharest in peace walichofanya wakamwita polisi trafic alikuwa pembeni wakamwambia ita gari uondoe huu mzoga, kisha wao wakatoa kipande cha bumper ya mbele kilikuwa kimekatika wakakitupa pembeni ya barabara, kisha hao wakasepa
 
Sijaelewa hata kama kulikuwa na Ulazima wa kumpiga hivi au angeweza tu kumsogeza pembeni kistaarabu

I hope yuko salama aliyepigwa[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
 
Kipindi cha jiwe msafara wake ilikuwa mara ya mwisho kupita geita, sasa zile escorts kabla yeye hajapita ilipita cruiser v8 ya wanajeshi ikamfata boda alikuwa anaendesha pembeni ya barabara ikampa kitu, kisha wakashuka kumtizama amesharest in peace walichofanya wakamwita polisi trafic alikuwa pembeni wakamwambia ita gari uondoe huu mzoga, kisha wao wakatoa kipande cha bumper ya mbele kilikuwa kimekatika wakakitupa pembeni ya barabara, kisha hao wakasepa
 
Back
Top Bottom