Kwa uangukaji ule lazima kuna damageSijaelewa hata kama kulikuwa na Ulazima wa kumpiga hivi au angeweza tu kumsogeza pembeni kistaarabu
I hope yuko salama aliyepigwa[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]View attachment 2904982
😁😂Huyu kichaa wa usalama wa kibongo achukuliwe hatua aisee hii unaweza Kuta jamaa kaua Kabisa maana ngumi nzito sana ileeAisee Charles kilian utatupa taarifa kamili bas
Blah blah blah, majeshi yetu wewe na nani?usiwe msemaji wangu, huyu mwanajeshi ni katili, mnyama wa poriniKule hatuko ngumi majeshi yetu waliwatandika mkuranga,kibiti na Rufiji wakakimbilia Msumbiji
Kule nchi nyingine wako Rwanda wanahangaika nao
Umelewa NiniKiherehere.
Wameenda kushangaa maiti ya FISADI LOWASA / LOW HASA.
Vita ni vita Mura huwezi mpangia Mkurya kwenye vita apigajeBaunsa mbona mshamba sana angemsukuma kidogo haikuwa na ulazima wa kumpiga ngumi.
Anauza kabisaSasa hapo kafanya hayo mbele ya camera,vip ingekuwa uchochoroni?
Ili asiuaweEti wanafanya ulinzi kwa marehemu[emoji23][emoji16]
Wangemflash Kabisa Hawa ni wauwajiSasa hapo kafanya hayo mbele ya camera,vip ingekuwa uchochoroni?
Mbona ngumi ya kawaida tu. We naye unataka kukuza vitu hata havistahili kukuzwa.....hakuna maajabu kwenye hiyo ngumiNgumi Iko vizuri kuanzia sipdi ya kupiga timely,Shabaha ya kupiga panapistahili na kuleta matokeo stahiki at the right time na bila ku disrupt mwendelezo wa kazi yake ya kusindikiza msafara akiwa mbele na position yake ya mbele alibaki nayo pale pale bila kuhitaji mtu atoke nyuma kuja ku take over position yake aliyokuwa nayo.Ni study case nzuri sana Kwa walinzi wa misafara .Hiyo clip itumike Hadi vyuo vya kijeshi vinavyofunza Escort
Yuko fit.mwepesi kupiga na ku maintain position yake bila ku loose position yake at the same time in very short time spidi ya mwewe
Umeona,sasa hapo hilo bunduki analinda nini wakati humo kwenye sanduku kumebebwa mzoga! Mimi naona labda wana wasiwasi watu wanaweza kuzicharaza bakora hizo maiti kutokana na chuki iliyojijenga baina ya watawala na watawaliwa maana asikwambie mtu watu mitaani wanawachukia sana watawala sema nidhamu ya woga imetushika na kama wanaamini wanapendwa kama watu wanavyowaigizia basi wajaribu kutembea siku moja moja mitaani bila ulinzi waone upendo halisi.
Ruksa wanaojielewa kwani wote umeona walipigwa ngumi?Kwahiyo Wanyonge hawatakiwi ?
Kazi gani ina laana?Aisee kapiga kama anataka kumuua.
Hii kazi ina laana
Wananchi hswaelewi wataendeleakupigwa tuMlitangaziwa kuwa itifaki inaratibiwa na jwtz......
Muwe mnaelewa. Hata kitabu Cha kajampa nani wanaosainu wanakikuta nje.
Kanisani waliingia washua tu wenye V8 wewe na harrier Yako unaenda kufanya Fujo.
Kazi Yako ni kupiga kura.
Atakuwa alitaka kufanyia zoezi😭😁😂Huyu kichaa wa usalama wa kibongo achukuliwe hatua aisee hii unaweza Kuta jamaa kaua Kabisa maana ngumi nzito sana ilee
Hata Miye ningeshangaa maana unaweza kuhisi anarudi kukupiga na Wewe jirani yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji24]Kwa uangukaji ule lazima kuna damage
Nimeona hata jirani zake hawajathubutu kumusaidia kuinuka ni kama nao wanashangaa
Mwenye maokoto yakeTunampenda zaidi marehemu