babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Ni mambo ya ajabu sana na huwa yanatokea Africa tu,mtu kashakufa ni maiti mnalinda nini sasa?
Kwamba kuna watu wataiba maiti?
Na hii mijinga linatoka kwake kwenda kuaga mwili wa Lowassa linapigwa ngumi nzito.
Mbona sisi tumemuaga tu kimya kimya.
Kwamba kuna watu wataiba maiti?
Na hii mijinga linatoka kwake kwenda kuaga mwili wa Lowassa linapigwa ngumi nzito.
Mbona sisi tumemuaga tu kimya kimya.