green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Huyo huyo jamaa angefanya tukio baya mngemlaumu mlinzi,, wabongo ujuaji mwingi wakati mnashindwa kununua sukari kg 1 kwa 6000 tuMlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliyekuwa akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowassa
Sio kwa ngumi hii aisee halafu huyu aliyepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisa.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app