Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
HatariMwamba kadondoka kama yupo kwa mwamposa vile duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HatariMwamba kadondoka kama yupo kwa mwamposa vile duh
Kwa hiyo kwa tafsiri yako watu wenye magonjwa ya akili ni wa kupiga..!?Kichaa ni huyo anayecheza barabarani bila sababu na kuhatarisha maisha yake
Mlinzi mvuta bangiHuzuni lakini ni jambo la kuchekesha, kwani mlinzi alikuwa na tatizo gani? Ulevi?
Ni wa kukumbushwa hatari kwa kelebKwa hiyo kwa tafsiri yako watu wenye magonjwa ya akili ni wa kupiga..!?
Mbona nimesikia Amefariki huyo Mzee?Daah jamaa ngumi moja mpaka kazimaaa...alivyodondoka pale akidondokea kisogo akafa sijui inakuwaje anayway ndo maana hao watu huwa ni form 4 failure.
Kwa taarifa za kuambiwa ambazo sijazithibitisha bado ni kuwa AmefarikiBaba wa watu kaniuma jamani sasa wamempigia nini
Nilihisi hilo, ile ni left hook 🪝 hatari sanaKwa taarifa za kuambiwa ambazo sijazithibitisha bado ni kuwa Amefariki
Ngumi ya koo imeingia kisawasawa 😂😂😂Hii misiba tuwaachiage wenye fedha tuu ndo wawe wanashiriki
Huo mstari wa mwisho umeandika logicNgumi kama imerushwa kizembe ila ukiizoom na kuitafakari inakoelekezwa ni ngumi ya kitaalam sana. Sumbwi limeelekezwa kupiga maeneo ya kimkakati ili jamaa asirudie tena.
Mlinzi angempiga mtama tu huwezi kulinda maiti kwa kuhatarisha uhai wa wanaopumua
Wazushi aiseeMbona nimesikia Amefariki huyo Mzee?
Angalia sekunde moja nyuma utaona kosa lake la msingiBaba wa watu kaniuma jamani sasa wamempigia nini
Sio yan kibadan shodani kataHiyo ngumi kitaalam tunaita Jordan Nzuki
Kwani mlinzi katumia silaha?Kuna walinzi wengine sijui wanakua ni vichaa wamepewa kazi ya ulinzi sasa kulikua na haja gani ya kumpiga ngumi Kali kiasi hicho kwanini usimsukume kidogo tu pembeni daah mtu ha silaha unampiga kiasi hicho daah
Pole mkuu na hii itakuwa trauma kwako kwa maisha yako yote, jaribu kupata counseling if possible mkuuMkuu nilijilaumu sana kutochukua video, ilinishangaza wanavyohubiri kuhusu wanyonge, na walichomfanya huyo boda nikabaki nasikitika yaani bila katiba mpya hakuna rangi tutaacha kuona