Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,030
- 2,200
Duh! Pole sana kwake aliyepigwa ngumi, tunamwombea quick recovery!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wameipata inaji-trendia yenyewe kwa uzuri tu,Halafu harakaharaka ile sehemu wameiondoa kweye streaming, uki replay huipati tena
Hiyo ngumi jina lake kijeshi inaitwa wewe ni mavumbi na utarudi mavumbiniJamaa hadi kaenda chini.
Jamaa alisha mtarget vzr..akampa left moja takatifu ...sawa sawa usemayo mkuu jamaa hajapoteza position yake kama hajapiga mtu vileNgumi Iko vizuri kuanzia sipdi ya kupiga timely,Shabaha ya kupiga panapistahili na kuleta matokeo stahiki at the right time na bila ku disrupt mwendelezo wa kazi yake ya kusindikiza msafara akiwa mbele na position yake ya mbele alibaki nayo pale pale bila kuhitaji mtu atoke nyuma kuja ku take over position yake aliyokuwa nayo.Ni study case nzuri sana Kwa walinzi wa misafara .Hiyo clip itumike Hadi vyuo vya kijeshi vinavyofunza Escort
Yuko fit.mwepesi kupiga na ku maintain position yake bila ku loose position yake at the same time in very short time spidi ya mwewe
Mbaya Zaidi kampiga ngumi mlevi,Nimetazama mkuu nadhani haikua sawa kupigwa ngumi... watu wa usalama wataliangalia hili kwa ukaribu
Kumbe ni heri ya wale walioamua kwenda kuandamana Kwa amani.
Jamaa anataka kuua mtu ili kulinda maiti.Umeona hiyo left aliyopewa jamaa [emoji1]
Ova
Na wewe ukakaa kimya hadi leo kuja kulalama humu, unasikitisha sana,maana umeruhusu hawa washenzi to go away with murderKipindi cha jiwe msafara wake ilikuwa mara ya mwisho kupita geita, sasa zile escorts kabla yeye hajapita ilipita cruiser v8 ya wanajeshi ikamfata boda alikuwa anaendesha pembeni ya barabara ikampa kitu, kisha wakashuka kumtizama amesharest in peace walichofanya wakamwita polisi trafic alikuwa pembeni wakamwambia ita gari uondoe huu mzoga, kisha wao wakatoa kipande cha bumper ya mbele kilikuwa kimekatika wakakitupa pembeni ya barabara, kisha hao wakasepa
Naunga mkono hojaHuyu jamaa sijui hali yake ikoje sasa hivi kwa maana amepigwa ngumi na amenyooka chini kwa style ya kupoteza fahamu.
Hata kama mtu alivuka mipaka ili sio kuwa treated kwa namna ile. Cha ajabu ni kwamba zitaletwa stori za kupotezea tukio hili.
Yani mnapopata mamlaka tu ni misifa inakuwa vichwani mwenu.
Hiyo sio ngumi ya kichwa katandikwa ngumi ya shingo.Kumbe tuwaachie muwe mnazikana wenyewe tuh maana mmetuona viherehere. Watanzania wote Arusha na monduli kwa ujumla jiepushane na msiba wa Lowassa msije mkapigwa ngumi za uso au risasi.
Waachieni kina Nape na Makonda hao ndio waliompenda.
Mwananchi
Aisee kweli usiamini kiurahisi maneno ya mswahili.
Hapo juu tumeona kabisa asiehusika na msiba kapigwa ngumi ya uso wewe unasema kakumbwa na unatuwekea 'style' yenyewe iliyotumika, heeei tofauti kabisa 😀
Je, kusingekuwa na videa mzee si ungekuja kutuambia kapigwa Teke la korodani kabisa?
Hufai kwa matumizi ya kutoa taarifa.
Maiti pia hulindwa wanga wengi waweza itaka maiti kuchukua nyota au viungo vya watu maarafu kufanyia ugangaJamaa anataka kuua mtu ili kulinda maiti.
Niliwahi kuahidi hapa jukwaani kwamba siku nitakayokutana na Lucas live ni lazima nimtandike makofi 3Unaweza kukuta aliyechapwa konde ni Lucas
😂😂😂Niliwahi kuahidi hapa jukwaani kwamba siku nitakayokutana na Lucas live ni lazima nimtandike makofi 3