Mzalendo_Mwandamizi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2007
- 1,117
- 4,772
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa,utarudiwa kwa wewe kuchimbwa gesiMimi sikuwepo naomba Udhalimu urudiwe.
Miaka million ijayo Mimi na wewe tutachimbwa gesi.Sawa,utarudiwa kwa wewe kuchimbwa gesi
We nweusiMwendazake alikuwa dikteta shetani mkubwa,,na wengi wanaomsapoti kichwani ni weupe
Basi umepitwa na muda.Mimi sikuwepo naomba Udhalimu urudiwe.
Ungefanyika utafiti wa kujua hili suala la watanzania wengi kutojua kuandika maneno ya kiswahili kwa ufasaha unaingizia Taifa hasara gani basi ungeshangaa. Jina la cheti cha bima ya afya ya mtoto lilikosewa nikaenda nikakuta msululu wa watu wenye tatizo kama hilo, cheti cha kuzaliwa hivyo hivyo yaani ni kila sehemu na kila nyanja. Bado hujakutana na maneno kama gali (gari), ushauli (ushauri) nk. Ni kinyaa. Na hapa sizungumzii typo au bali ni uzembe.Nimeshangaa Raia Mwema wamekosea jina hadi nikajiuliza..wameandika Chahari ..
Anyway good article...
Chuki inaondolewaje?? Nani hasa alipandikiza hiyo chuki? Unapopanda bangi huwa unatarajia kuvuna kahawa?Na huo ukweli hauwi ukweli Kwa sababu mtu Fulani maarufu anataka uwe ukweli? Never!
Kipimo cha mizania ya ukweli ni kuondoa chuki halafu ukweli ndipo uafutwe
Nimeshangaa Raia Mwema wamekosea jina hadi nikajiuliza..wameandika Chahari ..
Anyway good article...
typo ni kitu gani mkuuUngefanyika utafiti wa kujua hili suala la watanzania wengi kutojua kuandika maneno ya kiswahili kwa ufasaha unaingizia Taifa hasara gani basi ungeshangaa. Jina la cheti cha bima ya afya ya mtoto lilikosewa nikaenda nikakuta msululu wa watu wenye tatizo kama hilo, cheti cha kuzaliwa hivyo hivyo yaani ni kila sehemu na kila nyanja. Bado hujakutana na maneno kama gali (gari), ushauli (ushauri) nk. Ni kinyaa. Na hapa sizungumzii typo au bali ni uzembe.
Wanaomchukia wengi vichwa vimejaa mavi.Mwendazake alikuwa dikteta shetani mkubwa,,na wengi wanaomsapoti kichwani ni weupe