RAIA MWEMA: Kuuchukia ukweli (kuhusu utawala wa Magufuli) hakuufanyi (ukweli huo) kuwa uongo

RAIA MWEMA: Kuuchukia ukweli (kuhusu utawala wa Magufuli) hakuufanyi (ukweli huo) kuwa uongo

Kuna watu wakiandika unajua nini wataandika. Hutegemei mawazo huru!
 
Kwa wanaomjua Evarist Chahari hawashangai. Kwani tangu akae Usikochi akijitangaza anasoma shahada ya uzamili bila kumaliza, anatafuta gea ya kurejerea nchini. Hana tofauti na Lissu. Madai yake yote licha ya kuwa upuuzi, hayana ushahidi wowote zaidi ya tuhuma na kujikomba. Chahari go tell it to the birds or boobs my son. Shame on you. Unawezaje kutuletea vitimbwi vya twitter wakati ukijua kuwa Twitter inaruhusu mtu yeyote kufungua akaunti kama ilivyo kwenye JF bila kujulikana fika yeye ni nani?
 
Japo kamuongelea dikteta ila Chahali naye chenga chenga sana
 
Nawe umekosea, ingawa umemkosoa kishabiki jamaa yako huyo. Usiseme ^sio,^ bali ^siyo^
Kama hujui kitu ni bora ukapiga kimya tu,katika comment yangu hapo, huwezi kutumia neno "siyo" bali utatumia neno "sio"

Hata wewe pia umekosea


usiseme "Nawe" sema "Na wewe"
 
Pale unapombana kulazimisha dunia iwe upande wako
 
Back
Top Bottom