mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Wewe ni kati ya wale 30 walionyanyaswa kingono???Kushoto chini ni MUNGU MTU ambaye kwa sasa anaongea malaika na kulia ni JANGILI na JAMBAZI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni kati ya wale 30 walionyanyaswa kingono???Kushoto chini ni MUNGU MTU ambaye kwa sasa anaongea malaika na kulia ni JANGILI na JAMBAZI.
Malipo ni hapa hapaMwendazake alikuwa dikteta shetani mkubwa,,na wengi wanaomsapoti kichwani ni weupe
Advice (noun) ni ushauritypo ni kitu gani mkuu
Wewe mwenyewe unakosea kuandika
Lugha, lugha na matumizi
Tofautisha haya maneno advice na advise kwa kiswahili
Sent from my INE-LX2 using JamiiForums mobile app
Hivi siku hizi huwa hawafanyi'proof reading?? au ndo matunda ya shule zenyewe.....Waandishi habari wote wanaochanganya R na L wafukuzwe
Wewe tapeli umeniblock Twitter. Pesa zetu ulizotutapeli utazitema siku au kuna damu yako itazitema kwa niaba yako.
Huko kuzimu watakuwa wanakoma wanatamani arejeshwe dunianiMwendazake alikuwa dikteta shetani mkubwa,,na wengi wanaomsapoti kichwani ni weupe
Mbona hata wewe unakosea tena? Sio "awafanyi" ni "hawafanyi"Hivi siku hizi huwa awafanyi'proof reading?? au ndo matunda ya shule zenyewe.....
Kwani chahari anapapaswa na kulelewa pia na yule mzungu wa Lissu???
Lahaula ....🙆Mwendazake alikuwa dikteta shetani mkubwa,,na wengi wanaomsapoti kichwani ni weupe
Kwa wanaomjua Evarist Chahari hawashangai. Kwani tangu akae Usikochi akijitangaza anasoma shahada ya uzamili bila kumaliza, anatafuta gea ya kurejerea nchini. Hana tofauti na Lissu. Madai yake yote licha ya kuwa upuuzi, hayana ushahidi wowote zaidi ya tuhuma na kujikomba. Chahari go tell it to the birds or boobs my son. Shame on you. Unawezaje kutuletea vitimbwi vya twitter wakati ukijua kuwa Twitter inaruhusu mtu yeyote kufungua akaunti kama ilivyo kwenye JF bila kujulikana fika yeye ni nani?
Mazwazwa hao.....Wanaomchukia wengi vichwa vimejaa mavi.
Mbona hata wewe unakosea tena? Sio "awafanyi" ni "hawafanyi"
Kama hujui kitu ni bora ukapiga kimya tu,katika comment yangu hapo, huwezi kutumia neno "siyo" bali utatumia neno "sio"Nawe umekosea, ingawa umemkosoa kishabiki jamaa yako huyo. Usiseme ^sio,^ bali ^siyo^