Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Waungwana,
Hadi sasa kuna fukuto, tangu Mbowe asamehewe na Rais Samia kutoka jela hawana maelewano na Lissu. Kuna watu ndani ya Chadema mioyoni mwao walitamani Mbowe asitoke jela.
Muda unatuambia sasa.
Awali, hapa JF kulikuwa na hii thread - Kiongozi wa chama haelewani na yule kiongozi mwenzake, ugomvi ni mkubwa
Hadi sasa kuna fukuto, tangu Mbowe asamehewe na Rais Samia kutoka jela hawana maelewano na Lissu. Kuna watu ndani ya Chadema mioyoni mwao walitamani Mbowe asitoke jela.
Muda unatuambia sasa.
Awali, hapa JF kulikuwa na hii thread - Kiongozi wa chama haelewani na yule kiongozi mwenzake, ugomvi ni mkubwa