eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Kuna Watu wa Ajabu sana Nchi hii Wakati wa KESI ya KIJINGA ya UGAIDI kuna KUNDI la Watu WALIKUWA Wakipita MITAANI na KUPAYUKA ETI MBOWE ni GAIDI.
Baada ya MUNGU kuwaumbua Waneanza Tena ETI MBOWE na LISSU Hawaelewani Tunawashauri WAWAPATANISHE mbona ni kazi RAHISI TU.
Ila tunachowaambia kama Yule Aliyetumia na RISASI kutaka kuwaua Viongozi wa Chadema na Magereza kutaka Kuwafungwa ALISHINDWA basi CHADEMA HAIFI TENA
Kwa hiyo kwa mawazo yako cdm iko hai!!!?
😛 😛 😛