Mkweli wa Mungu, Mimi sio CHADEMA Wala CCM ila niwaeleze tu ndugu zangu usije ukawaamini wanasiasa, kwasababu wao pia ni binadamu Wana madhaifu Yao hivyo mengi wao ni chumia tumbo tu hakuna lolote na mtaji wao ni wananchi wapuuzi, wajinga na maskiniaani Mimi nashangaa sana wewe mwenyewe mwanaCHADEMA huna maisha mazuri unaishi kwa tabu ,shida na madeni lakini unafanya kila uwezalo eti Mbowe au Lissu wachangiwe pesa sijui kwaajiri ya shughuri za chama sijui nini yaani ni upumbavu wa kiwaongo Cha juu sana.
Nilishasema na narudia tena sio Mbowe, Lissu, Samia au Zitto ndio wanaweza kukuletea maendeleo iyo ni big no maendeleo ya nchi hii yanahitaji wanachi wenye akili ambao hawataweza kumvumilia kiongozi wa namna yeyote Ile fisadi, mbazilifu, mng'ang'ania madaraka kwa muda mrefu bili matokea chanya yeyote ,Mpenda fedha na mwenye kujijali yeye mwenyewe na familia yake. Hapo ndipo viongozi watajiset na kuwa watu wakuwatumikia wananchi basi lakini sio hizi ngonjera za kipuuzi na kijinga za wao viongozi kugombania maslai Yao binafsi