Unaujua uchunguvea risasi 16 wwHawawezi kuwa sawa.
Mbowe ameonja uchungu wa uongozi hadi kasota jela miezi nane.
Lissu anaongea akiwa nje ya nchi, hana uhalisia wa chama.
Hata huo uongozi wa chama Lissu aachane nao
Unajua kazi aliyoifanya Lissu kwa chama huko nje? Kaa karibu na wanaofahamu hili sio ndani ya Chadema tuu bali hata serikalini hasa Hazina na Foreign affairs watakuambia kibano walichokuwa wanakumbana nacho huko kwa nchi wahisani na mashirika ya kimataifa kutokana na ushawishi wa Lissu.Hawawezi kuwa sawa.
Mbowe ameonja uchungu wa uongozi hadi kasota jela miezi nane.
Lissu anaongea akiwa nje ya nchi, hana uhalisia wa chama.
Hata huo uongozi wa chama Lissu aachane nao
Kamanda jikite kwenye hoja acha kulialia na ramliNilifikiri kwa kukaa kwako bungeni kipindi cha kutosha basi ungeweza kuwa na ufahamu kuwa Rais hana mamlaka ya kumsamehe mtuhumiwa wa kesi yeyote bali anaweza kumsamehe mhalifu aliyehukumiwa tayari.
Kilichomtoa Mbowe ni DPP kuona hana misingi katika kesi yake hivyo kuiondoa mahakamani. Kaiondoa DPP au kaagizwa na Rais yote sawa maana sio msamaha.
Though naona hakuna huo ugomvi Wala tatizo Kama watatofautiana Ila just a point of correction, hata nae Lissu alikula Shaba kama utitiri mwilini sababu ya siasa zake ambazo chama kilimpa go ahead aziendeshe kwa wakati ule.Hawawezi kuwa sawa.
Mbowe ameonja uchungu wa uongozi hadi kasota jela miezi nane.
Lissu anaongea akiwa nje ya nchi, hana uhalisia wa chama.
Hata huo uongozi wa chama Lissu aachane nao
Jikite kwenye hoja acha kulialiaMtasubiri sana nyie sukuma gang,
Zama zenu mlizitumia kuumiza watu...