Raia Mwema: Umoja Party chahusishwa na Team Magufuli

Raia Mwema: Umoja Party chahusishwa na Team Magufuli

Tanzania inahitaki chama kipya makini kitachotoa toa challenge sera na serikali mbadala.

Chama cha kuwapigia wananchi na kutatua matatizo na changoto zao.

Chama kitachowaunganisha Watanzania wote, bila kujali kabila,dini,kanda, tabaka, chama, elimu, uwezo.

Wasio na vyama, walitemwa na kutengwa na vyama, wanachama wa vyama vingine wazalendo wote inabidi waungane kuanzisha chama kipya kwa maslahi ya Taifa.
Kusema ni rahisi sana
 
Tutawafyeka wote wapumbavu hao!!!
Hahahah kwa taarifa yako Umoja party haina vigogo kabisa, gazeti la Ulimwengu linaendesha propaganda na tunajua Ulimwengu ni msaliti na mwenye chuki binafsi na Dkt Magufuli.
 
Ni zamu ya wamiliki wa magazeti kulamba Asali sasa.

Ni mwenye akili iliyolala tu ndiye anaweza kuamini uandishi wa habari dizaini hii.
Serikali ina akili mingi mingi sana, na kwa vile duniani wajinga ni wengi sana kuliko wenye akili [emoji851]

Ni kutawanyisha kura tu za kanda flani ambao 80% ni timu JPM ili 2025 CCM iendelee kudumu kimadaraka zaidi ya miaka 100 mbele [emoji1787]
 
UMOJA PARTY chama cha ukombozi dhidi ya majangili CCM
Km ni kweli CCM lazima itikisike.Wapiga kura wengi wanaumiza kifo Cha JPM.wapiga kelele kwenye mtandao ni wachache sana,wengi wafuasi wa jpm hawapo kwenye mitandao ya kijamii.
Likiwafikia hili,itakuwa faraja kwao
 
Waanzishe hata Magufuli Party, lakini imebaki historia, Mheshimiwa atakumbukwa tu kwa aliyotenda yawe mema au mabaya yote yatabaki kuwa historia na haijirudii
 
Kusema ni rahisi sana

Hakuna kitu kirahisi duniani. Vitu vyote vinaanza na idea, vinaanzia kwenye ubongo, vinaanzishwa na majasiri wachache.

Hawa wote wakijiunga pamoja Lukuvi, Kabudi, Polepole, Ndugai, Lowassa, Majaliwa, Kalemani, Bashiru, CUF, Chamriho, UDP,Chauma, TLP, wasio na vyama, wote walioko CCM lakini hawaridhiki mwelekeo wa CCM ya sasa watakuwa na nguvu ya kutosha kuchukua serikali na wataungwa mkono na wengi wa Watanzania.

Muhimu wasimamie kuboresha maisha ya Watanzania wote, Sera zielekezwe:

Kupunguza kodi, mikopo isiyo na tija,kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji, wafanyabiashara, machinga,mama ntilie, wapinge, rushwa, ufisadi, viongozi kula kwa urefu wa kamba zao, kuendekeza udini, kuteua marafiki, ndugu zao, uwiano sahihi kati ya bara na visiwani kwenye ajira, pesa, vipaumbele kila kitu.

Umeme, maji, wa uhakika. Kilimo kiwe kipaumbele kurejesha ruzuku kwenye pembejeo, mbolea. Kuanzisha viwanda vya mbolea, matrekta, kuchakata mazao na kuzalisha mazao ya kimkakati hapa Tz. kutafuta masoko ya nje.

Kuhakiisha jeshi la polisi, mahakama zinatenda haki. Kuthibiti mfumuko wa bei.

Basically kufanya kinyume ya kila kitu CCM inavyofanya leo. Hiki chama kipya wenyewe wawe wakulima, machinga, mama ntilie, wafanyakazi wafanyabiashara, Watanzania wote.
 
Nasubiri kuona rangi ya bendera yao kama itakuwa ya chama kitakachoingia madarakani 2025.
 
Hivi kuna watu bado wanamkumbuka JPM na roho mbaya yote ile!!!
Nyie ambao mpo brainwashed kuhusu uzalendo mna shida sana. Hizi ni nguvu mbili, uzalendo vs rushwa, lazima uzalendo ushinde maana nyie lengo si la nchi bali utapeli. Na hakika hii nchi siku ikirudi mikononi mwa wazalendo mjiandae kukimbia nchi au kutubu dhambi za udharimu
 
Nyie ambao mpo brainwashed kuhusu uzalendo mna shida sana. Hizi ni nguvu mbili, uzalendo vs rushwa, lazima uzalendo ushinde maana nyie lengo si la nchi bali utapeli. Na hakika hii nchi siku ikirudi mikononi mwa wazalendo mjiandae kukimbia nchi au kutubu dhambi za udharimu
Hakuna mzalendo nchi hii, wote wapiga deal tu acha kupoteza muda
 
Back
Top Bottom