Yamesikika ya wasomi (nguli kwa mapoyoyo), chawa, wajinga na hata werevu:
View attachment 2675885
Kwani kuna haja ya kuliacha suala hili kuendelea mno?
"Labda kwa kusubiria dodo kwenye mnazi."
Ushauri wa bure tunaelekea kubaya.
Hakuna kuliacha Dp iingie bandarini ukicheka na wtz hufanyi maendeleo ndo mana JPM alihakikisha analoamua linafanyika na yule atakae leta uzibe anapitanaye