Raia Samia: Watanzania pia wananiita Ibn Battuta

Raia Samia: Watanzania pia wananiita Ibn Battuta

Unaweza kuta yeye anajua ni sifa nzuri.
 
Mama piga Kaziiiiii. Hata hao akina Vasco Da Gama na Ibn Batuta waliziletea fursa nyingi nchi zao kutokana na kusafiri kwao.

Usiwe kama yule jamaa yao yeye kusafiri ilikuwa ni kwenda kwa Nkurunziza au kwa Kagame kujifunza njia za kuua wapinzani
Hahahahahahahahahahahahahahahahahaha.....
Duh!!
 
Back
Top Bottom