Raia wa China wakamatwa kwa kumcharaza viboko mfanyakazi aliyefika ofisini kwa kuchelewa

Raia wa China wakamatwa kwa kumcharaza viboko mfanyakazi aliyefika ofisini kwa kuchelewa

Kwenye maisha unatakiwa uwe mkorofi lkn pia uwe mpole,kila kimoja hapo kinatumika kwa muda wake,
Nchi kama africa kusini raia washakinukisha na wachina kazaa wapo icu kama sio mochwari

Sent using Jamii Forums mobile app
Kenyan wake up!
Wakenya mna Maneno mengi kuliko kazi.

Namuunga mkono mchina
MK254,
Kama huwezi kusoma unajadili yote haya kwa nini? Kwani ni mara ya kwanza Wachina kuwadhalilisha? Unategemea sheria imtie hatiani mtu munayechapana viboko nyumbani? si ndiyo hayo sasa inaandikwa ni kamali,
Raia wa kenya wameonesha hasira zao na kudai hatua ya kisheria ichukuliwe.
 
Raia wa kenya wameonesha hasira zao na kudai hatua ya kisheria ichukuliwe.
Hiyo ndo tunataka! Hasira zetu siyo kuwazoza Wakenya. TUnajua nje wakiona wao wanajua ni mwafrika tu. Unyenyekevu kwa wazungu na ngozi nyeupe kwa miaka mingi, matokeo yake ndo hayo!
 
Umefanya busara kuhariri na kutoa yale matusi, nilikuambia hatuwezi tukawachinja, lazima sheria ichukue mkondo wake, jamaa amekamatwa na kuwasilishwa mahakamani, taratibu zinafuatwa za kuhakikisha haki inatendeka bila uonevu.
Hakuna haki hapo! Kenya tunaijua, ni tofauti na Uganda na Tanzania ambapo tulifundishwa kujivunia U-Tanzania. Kenya kila mtu anahangaika afanane na Ulaya au US. KIla anayepata pesa anahangikia hilo. Ni kitu kiko kichwani. Kwa nini unaamini kutakuwa na haki wakati hata hakinu anawaza awe kama huyo Mchina?

Mtu mzima analala na kuchapwa, wakati nchi zingine hata Mwanafunzi anakimbia na kuacha shule? Kichwani kuna shida hapo!
 
Hakuna haki hapo! Kenya tunaijua, ni tofauti na Uganda na Tanzania ambapo tulifundishwa kujivunia U-Tanzania. Kenya kila mtu anahangaika afanane na Ulaya au US. KIla anayepata pesa anahangikia hilo. Ni kitu kiko kichwani. Kwa nini unaamini kutakuwa na haki wakati hata hakinu anawaza awe kama huyo Mchina?

Mtu mzima analala na kuchapwa, wakati nchi zingine hata Mwanafunzi anakimbia na kuacha shule? Kichwani kuna shida hapo!

Halafu mlivyo wanafiki, nyie kwenu Wachina huwapiga hata ngumi ila mnapenda kujikweza na kujiona bora, soma hizi hapa taariza za kipigo ambacho huwa mnachezea kwa Wachina Raia wa China watimuliwa kwa kuwapiga makonde Watanzania
 
Jirani mwanaume shababi kabisa umenining'iniza pumbu unakubali kulala chini kisha kutandikwa kaa mtoto wa shule? Speaking of Them Fags…

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Tanzania mnapigwa hata ngumi na Kungfu za Wachina, huwa hamuoni aibu
 
Wakenya mna Maneno mengi kuliko kazi.

Namuunga mkono mchina

Mbona Tanzania mnapigwa hata ngumi na Kungfu za Wachina, huwa hamuoni aibu
 
Huyo mchina anatakiwa atandikwe haswa! I wish i could be IGP!

How dare!! Yaani unapiga mtu fimbo kabisa!

Yaani hawa wameshatuona sisi ni manyani tu!

Walahi ningemvunja taya huyo mchina!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona Tanzania mnapigwa hata ngumi na Kungfu za Wachina, huwa hamuoni aibu
Sikujua kwamba tunalaani na kujitetea kitaifa. Yaani unalinganisha kupigana ngumi na kulala kwa hiari na kutiwa viboko? Kijana wa miaka zaidi ya 20 analala na kupigwa fimbo! Iko siku vitalawiti hivi vi mtu.

Siku hukumu hiyo ikitolewa ukasikia wamefukuzwa, niandikie.
 
Naomba hizi hasira uwe pia unaelekeza kwa Wachina wanaofanya haya mambo kwenu pia, maana huko naona ni mwendo wa ngumi hata sio viboko
Wachina ni washenzi tu, iwe Tanzania au Kenya.

Bahati mbaya hata mapolisi nao wanahongwa vipesa uchwara na hao wachina. Unajikuta unatandikwa viboko na huendi popote.

Tutamalizana site. Mchina ni kijitu kidogo sana nitamfumua kama naua mbwa koko!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikujua kwamba tunalaani na kujitetea kitaifa. Yaani unalinganisha kupigana ngumi na kulala kwa hiari na kutiwa viboko? Kijana wa miaka zaidi ya 20 analala na kupigwa fimbo! Iko siku vitalawiti hivi vi mtu.

Siku hukumu hiyo ikitolewa ukasikia wamefukuzwa, niandikie.
Huyo mjinga wala asikupe tabu, ni kawaida yake sana kujifariji ili kuficha aibu,
Anafananisha kupigana na Kulala chini utandikwe viboko 😂😂😂
 
MbOna tanzania migodini watanzania wanachapwa viboko kila siku hamsemi?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sikujua kwamba tunalaani na kujitetea kitaifa. Yaani unalinganisha kupigana ngumi na kulala kwa hiari na kutiwa viboko? Kijana wa miaka zaidi ya 20 analala na kupigwa fimbo! Iko siku vitalawiti hivi vi mtu.

Siku hukumu hiyo ikitolewa ukasikia wamefukuzwa, niandikie.

Wacha uzembe wa Kitanzania, soma makala yote, huwa mnapigwa hadi kungfu tulizozoea kuona kwenye movie
"Mmoja wa wananchi hao ambaye ni wafanyakazi kwenye kampuni hiyo, Wilson Pawa, alisema makandarasi hao wanawanyanyasa kwa kuwasingizia kuwa wanawaingizia hasara na ikitokea wakabishana huanza kuwapiga kung-fu na kutishia kuwaua kwa risasi."
 
Mbona tuhuma za wazungu wa Acacia kuwakodi wanawake wa kitanzania na kwenda kuwafanyisha ngono na mbwa wao hamzisemi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
MbOna tanzania migodini watanzania wanachapwa viboko kila siku hamsemi?


Sent from my iPhone using JamiiForums

Watu wanajitoa ufahamu tu, haya ni manyanyaso tunafanyiwa kama Waafrika, Tanzania watu wanapigwa hadi kungfu zile za movie kabisa

 
Inapofikia hatua waafrika tunacheka mambo yanayowatokea wenzetu bila kukumbuka sote tunapitia hayo hayo ni hatari sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wachina ni washenzi tu, iwe Tanzania au Kenya.

Bahati mbaya hata mapolisi nao wanahongwa vipesa uchwara na hao wachina. Unajikuta unatandikwa viboko na huendi popote.

Tutamalizana site. Mchina ni kijitu kidogo sana nitamfumua kama naua mbwa koko!

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu fikiria hapo hao wachina wanaishi na kufanya kazi kwa visa ya utalii
Na wapo wahusika waliozitoa na utakuta hiyo ndio hotel yao wanapokula kila siku
Hapo tuone kama watawajibishwa hao waliotoa kibali cha Hotel na hizo visa za kitalii
Kweli tuna safari ndefu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom