Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Bila picha au video.Raia wa China watimuliwa kwa kuwapiga makonde Watanzania
SERIKALI imewatimua nchini raia wawili wa China kwa kosa la kuwatwanga makonde na kuwanyanyasa Watanzania walioajiriwa katika mradi wa ujenzi wa barabara ya Chunya Makongorosi mkoani Mbeya, inayojengwa kwa kiwango cha lami.www.ippmedia.com
picha au video iko wapi??Mbona tuhuma za wazungu wa Acacia kuwakodi wanawake wa kitanzania na kwenda kuwafanyisha ngono na mbwa wao hamzisemi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Vinginevyo ni story zenu za kujipooza machungu