Raia wa Ghana wadaiwa kuiba Sh 1.6 bilioni benki

Raia wa Ghana wadaiwa kuiba Sh 1.6 bilioni benki

Mjinga ni wewe Mwenyewe unaeitafuta pesa kwa nguvu na huipati....wenzio wanatumia akili na duniaa a ya leo inahitaji watu smart kichwani......
That's not true. Smart people never steal, never commit crime or fraud of any sort. Ni tamaa tu. Utakuta Sasa watu mtoto wa flani smart kisa ana gari Kali na nyumba Kali. Sasa tuone usmart wao huko gerezani.

Cc mrangi
 
Hongera kwao kumbe tuna majembe wa IT.
 
That's not true. Smart people never steal, never commit crime or fraud of any sort. Ni tamaa tu. Utakuta Sasa watu mtoto wa flani smart kisa ana gari Kali na nyumba Kali. Sasa tuone usmart wao huko gerezani.

Cc mrangi
Kwani wemeshahukumiwa au? kama aliyemuua mama yake moshi ameachiwa sembuse hao
 
Uhujumu uchumi na
Kutakatisha fedha.

Nadhani wanasheria wetu bado hawajaelewa tafauti za misamiati ya kifedha.

Wangewashtaki na kosa la wizi kutumia techn


Kuiibia benki kiasi hicho kikubwa cha fedha ni a considerable/significant economy sabotage
 
Wewe ndiyo akili ya mtu anayekunwa pombe ya maziko saa nane! Kwenda kunyea mavi debe gerezani ndiyo akili? Wewe ni bwege kabisa, nenda na wewe uunganishwe na ukanigwe mku-undu huko gerezani!
Maziko saa nane, majina hayo ya pombe naona unatupeleka Tanzania Visiwani
 
Ni ujinga kabisa. Watu kama hawa wakupiga tu risasi ikithibitika
Ila wale waliobeba hela za escrow kwenye mifuko ya sandarusi, tuendelee tu kuwalamba miguu!!

Maana mpaka leo hata majina yao tu ni siri!!
 
Nilikariri benki huwa hazisemi chochote zikiibiwa fedha kimifumo ili kulinda hadhi yake na uhakika kwa wateja kuwa pesa zao zitakuwa salama kwao.. [emoji2363][emoji2363]

Sasa benki itawahakikishia vipi tena wateja juu ya usalama wa fedha zal dhidi ya watuhumiwa kama mtizedi mwenzetu
Jumatatu tarehe 22 Agosti 2022 naenda kufanya transfer ya hela zangu zote katika hii Benki...!

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Raia wa Ghana, Valentine Zancheus (42) na Mtanzania, Fortunatus Bundala(36) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka manne likiwemo la wizi na kuingilia mifumo wa Benki ya BancABC na kujipatia na Sh1.6 bilioni mali ya benki hiyo.

Washtakiwa hao wamefikishwa mahakamani leo Ijumaa Agosti 19, 2022 na kusomewa mashtaka yao na jopo la mawakili watatu wakiongozwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Grace Mwanga akisaidiana na Yusuph Aboud, Caroline Materu, mbele ya Hakimu Mkazi, Richard Kabate.

Wakili Materu amedai kuwa washtakiwa hao wanakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi namba 48/2022 yenye mashtaka ya kula njama ya kutenda kosa, wizi, kuingilia mifumo ya kompyuta za benki ya BancABC na kutakatisha fedha kiasi cha Sh1.6 bilioni.

Washtakiwa baada ya kusomewa mashtaka hawakutakiwa kujibu chochote kutokana na Mahakama hiyo kutokuwa na uwezo wa kusikiliza kesi za uhujumu uchumi isipokuwa kwa kibali maalum.

Hakimu Kabate ameahirisha kesi hiyo hadi Septemba Mosi, 2022 itakapotajwa na washtakiwa wamerudishwa rumande kutokana na shtaka la kutakatisha fedha linalowakabili halina dhamana kwa mujibu wa sheria.

MWANANCHI
Hivi ingeandikwa Mtanzania 1 na raia wa Ghana 1 wameiba bank kiasi hicho cha fedha ingepunguwa nn?

Kuna sababu gn ya kuficha uraia wa Tanzania kwenye head line?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angekua mbongo ungesikia kabaka. Big up west Africa
 
Uhujumu uchumi na
Kutakatisha fedha.

Nadhani wanasheria wetu bado hawajaelewa tafauti za misamiati ya kifedha.

Wangewashtaki na kosa la wizi kutumia techn
Labda Lengo la kuwapiga pini hilo la kuhujumu uchumi ni kwamba wakose dhamana.

Wamenikumbusha genge la wizi wa pesa za benki kimfumo wanaitwa Carbanak cybergang hawa jamaa walikua hatari walichota sana pesa nyingi.

Ukisoma stori yao inaonyesha walikua wanajua kuiba haswa yani hawabahatishi, walikua mpaka na uwezo wa kuicommand ATM kutoa hela kwa muda flani wanaoutaka wao alafu kuna mtu wao anakua pale kukinga pesa na kusepa
images%20(6).jpg
images%20(7).jpg
cobalt_final_full-01-01.jpg
 
Back
Top Bottom