That's not true. Smart people never steal, never commit crime or fraud of any sort. Ni tamaa tu. Utakuta Sasa watu mtoto wa flani smart kisa ana gari Kali na nyumba Kali. Sasa tuone usmart wao huko gerezani.Mjinga ni wewe Mwenyewe unaeitafuta pesa kwa nguvu na huipati....wenzio wanatumia akili na duniaa a ya leo inahitaji watu smart kichwani......
Kwani wemeshahukumiwa au? kama aliyemuua mama yake moshi ameachiwa sembuse haoThat's not true. Smart people never steal, never commit crime or fraud of any sort. Ni tamaa tu. Utakuta Sasa watu mtoto wa flani smart kisa ana gari Kali na nyumba Kali. Sasa tuone usmart wao huko gerezani.
Cc mrangi
Uhujumu uchumi na
Kutakatisha fedha.
Nadhani wanasheria wetu bado hawajaelewa tafauti za misamiati ya kifedha.
Wangewashtaki na kosa la wizi kutumia techn
Sasa hapo sijui itakuwaje kwa suala kama hilo na wabongo tulivyo na hofu na pesa zetuwao wanaamini wameonyesha uwezo wa kuwakamata
Maziko saa nane, majina hayo ya pombe naona unatupeleka Tanzania VisiwaniWewe ndiyo akili ya mtu anayekunwa pombe ya maziko saa nane! Kwenda kunyea mavi debe gerezani ndiyo akili? Wewe ni bwege kabisa, nenda na wewe uunganishwe na ukanigwe mku-undu huko gerezani!
Hofu ya Nini wkt tunaishi kwa kutegemea advance salary?Sasa hapo sijui itakuwaje kwa suala kama hilo na wabongo tulivyo na hofu na pesa zetu
Ila wale waliobeba hela za escrow kwenye mifuko ya sandarusi, tuendelee tu kuwalamba miguu!!Ni ujinga kabisa. Watu kama hawa wakupiga tu risasi ikithibitika
Kunigwa ndio...unaandika upuuzi ..kula na kulala kwa mama fara weweNenda pia na wewe ukaliwe gerezani! Wenzio wapo wananigwa nyuma muda huu! Nenda kaunge juhudi huko!
Jumatatu tarehe 22 Agosti 2022 naenda kufanya transfer ya hela zangu zote katika hii Benki...!Nilikariri benki huwa hazisemi chochote zikiibiwa fedha kimifumo ili kulinda hadhi yake na uhakika kwa wateja kuwa pesa zao zitakuwa salama kwao.. [emoji2363][emoji2363]
Sasa benki itawahakikishia vipi tena wateja juu ya usalama wa fedha zal dhidi ya watuhumiwa kama mtizedi mwenzetu
Hivi ingeandikwa Mtanzania 1 na raia wa Ghana 1 wameiba bank kiasi hicho cha fedha ingepunguwa nn?Raia wa Ghana, Valentine Zancheus (42) na Mtanzania, Fortunatus Bundala(36) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka manne likiwemo la wizi na kuingilia mifumo wa Benki ya BancABC na kujipatia na Sh1.6 bilioni mali ya benki hiyo.
Washtakiwa hao wamefikishwa mahakamani leo Ijumaa Agosti 19, 2022 na kusomewa mashtaka yao na jopo la mawakili watatu wakiongozwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Grace Mwanga akisaidiana na Yusuph Aboud, Caroline Materu, mbele ya Hakimu Mkazi, Richard Kabate.
Wakili Materu amedai kuwa washtakiwa hao wanakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi namba 48/2022 yenye mashtaka ya kula njama ya kutenda kosa, wizi, kuingilia mifumo ya kompyuta za benki ya BancABC na kutakatisha fedha kiasi cha Sh1.6 bilioni.
Washtakiwa baada ya kusomewa mashtaka hawakutakiwa kujibu chochote kutokana na Mahakama hiyo kutokuwa na uwezo wa kusikiliza kesi za uhujumu uchumi isipokuwa kwa kibali maalum.
Hakimu Kabate ameahirisha kesi hiyo hadi Septemba Mosi, 2022 itakapotajwa na washtakiwa wamerudishwa rumande kutokana na shtaka la kutakatisha fedha linalowakabili halina dhamana kwa mujibu wa sheria.
MWANANCHI
Labda Lengo la kuwapiga pini hilo la kuhujumu uchumi ni kwamba wakose dhamana.Uhujumu uchumi na
Kutakatisha fedha.
Nadhani wanasheria wetu bado hawajaelewa tafauti za misamiati ya kifedha.
Wangewashtaki na kosa la wizi kutumia techn