Raia wa Iran wanakaribia kuingizwa mkenge na mabeberu wa magharibi kama walivyofanyiwa raia wa Libya

Raia wa Iran wanakaribia kuingizwa mkenge na mabeberu wa magharibi kama walivyofanyiwa raia wa Libya

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Kitendo cha wachezaji wa timu ya Taifa ya Iran kugomea kuimba wimbo wao wa Taifa eti wakiunga mkono maandamano yanayoendelea nchini Iran kupinga serikali ya Iran na sera yake ya stara kwa wanawake. Hiki ni kitendo cha usaliti na ukosaji wa uzalendo wa hali ya juu mno! Wananchi wa Iran wanaelekea kudanganyika kuwa mataifa ya magharibi yanawapenda sana kuliko serikali yao inavyowapenda.

Huko nyuma wananchi wa Libya walishawishiwa kumgomea rais wao Gadafi kwa maandamano na uasi wa kila leo! Leo hii Libya wanalia na hali ngumu na nchi za magharibi hazina habari nao. Wachezaji wa Iran walivyogomea wimbo wa Taifa wamepeleka ujumbe hasi kwa wananchi wenzao na sitashangaa mpaka kombe la dunia litakapoisha uasi utapamba moto sana! Mwisho wa siku kama waklifanikiwa kuiangusha serikali yao mwisho wake ni majuto.

Mwaka 2014 mataifa ya magharibi yalifanikiwa kupandikiza uasi kwa raia wa Ukraine wakaamua kuiasi serikali yao na kumwondoa madfarakani rais wao na nchi za magharibi zikapandikiza kibaraka wao. Huo ndio ulikuwa mwanzo wa machafuko nchini Iran. Chimbuko la vita inayoendelea nchini ukraine ni maasi ya mwaka 2014!! Je wananchi wa Ukraine wamefaidika na nini kama siyo vifo na maafa lukuki nchini mwao!! Mabeberu hawafai, tena hawafai kabisa.

Hawana aibu kuwachonganisha mkauana wenyewe kwa wenyewe!! Leo Libya wanakumbuka walipokuwa wanatumia maji na umeme bure!! Ukioa unapatya posho!!! Posho ya kutokuwa na ajira ilikuwa ni kubwa kuliko watoayo mabeberu nchini kwao! Leo yote hayo hayapo!! Wananchi wa Iran wameamua kulilia kisu na kuna siku watakipata!!

And those who were in the stadium prior to the start of the game also saw another notable incident, when Iran opted against singing their country’s national anthem in advance of the kick-off, in what many will see as support for the protests taking place in the country.
 
Kitendo cha wachezaji wa timu ya Taifa ya Iran kugomea kuimba wimbo wao wa Taifa eti wakiunga mkono maandamano yanayoendelea nchini Iran kupinga serikali ya Iran na sera yake ya stara kwa wanawake. Hiki ni kitendo cha usaliti na ukosaji wa uzalendo wa hali ya juu mno! Wananchi wa Iran wanaelekea kudanganyika kuwa mataifa ya magharibi yanawapenda sana kuliko serikali yao inavyowapenda.

Huko nyuma wananchi wa Libya walishawishiwa kumgomea rais wao Gadafi kwa maandamano na uasi wa kila leo! Leo hii Libya wanalia na hali ngumu na nchi za magharibi hazina habari nao. Wachezaji wa Iran walivyogomea wimbo wa Taifa wamepeleka ujumbe hasi kwa wananchi wenzao na sitashangaa mpaka kombe la dunia litakapoisha uasi utapamba moto sana! Mwisho wa siku kama waklifanikiwa kuiangusha serikali yao mwisho wake ni majuto.

Mwaka 2014 mataifa ya magharibi yalifanikiwa kupandikiza uasi kwa raia wa Ukraine wakaamua kuiasi serikali yao na kumwondoa madfarakani rais wao na nchi za magharibi zikapandikiza kibaraka wao. Huo ndio ulikuwa mwanzo wa machafuko nchini Iran. Chimbuko la vita inayoendelea nchini ukraine ni maasi ya mwaka 2014!! Je wananchi wa Ukraine wamefaidika na nini kama siyo vifo na maafa lukuki nchini mwao!! Mabeberu hawafai, tena hawafai kabisa.

Hawana aibu kuwachonganisha mkauana wenyewe kwa wenyewe!! Leo Libya wanakumbuka walipokuwa wanatumia maji na umeme bure!! Ukioa unapatya posho!!! Posho ya kutokuwa na ajira ilikuwa ni kubwa kuliko watoayo mabeberu nchini kwao! Leo yote hayo hayapo!! Wananchi wa Iran wameamua kulilia kisu na kuna siku watakipata!!

And those who were in the stadium prior to the start of the game also saw another notable incident, when Iran opted against singing their country’s national anthem in advance of the kick-off, in what many will see as support for the protests taking place in the country.
Umeandika ukweli lakini ni wachache watakao kuelewa
 
Shida kama mfumo wako WA ungozi unaleta division sio inclusive ni rahisi adui kutumia kukuangamiza, ndo maana democrasia ni muhimu zaidi.
Lakini hiyo pia ni gharama ya kuukataa mfumo WA kidunia unaongizwa na wenye nguvu ambayo ni sawa na fisi kutakua kuitawala nyulika wakati Simba yupo
 
Iran ni taifa lenye historia ya mapinduzi ya kiraia halina tofauti sana na mataifa kama China, Russia, Ufaransa, Marekani.

Haya maandamano ya Iran ya kiraia ya kudai kile wao wanacho ona ni haki yao hayajaanza leo na wairan wana mioyo ya chuma katika kusimamia kile wanacho amini wao ni haki yao.
 
Kitendo cha wachezaji wa timu ya Taifa ya Iran kugomea kuimba wimbo wao wa Taifa eti wakiunga mkono maandamano yanayoendelea nchini Iran kupinga serikali ya Iran na sera yake ya stara kwa wanawake. Hiki ni kitendo cha usaliti na ukosaji wa uzalendo wa hali ya juu mno! Wananchi wa Iran wanaelekea kudanganyika kuwa mataifa ya magharibi yanawapenda sana kuliko serikali yao inavyowapenda.

Huko nyuma wananchi wa Libya walishawishiwa kumgomea rais wao Gadafi kwa maandamano na uasi wa kila leo! Leo hii Libya wanalia na hali ngumu na nchi za magharibi hazina habari nao. Wachezaji wa Iran walivyogomea wimbo wa Taifa wamepeleka ujumbe hasi kwa wananchi wenzao na sitashangaa mpaka kombe la dunia litakapoisha uasi utapamba moto sana! Mwisho wa siku kama waklifanikiwa kuiangusha serikali yao mwisho wake ni majuto.

Mwaka 2014 mataifa ya magharibi yalifanikiwa kupandikiza uasi kwa raia wa Ukraine wakaamua kuiasi serikali yao na kumwondoa madfarakani rais wao na nchi za magharibi zikapandikiza kibaraka wao. Huo ndio ulikuwa mwanzo wa machafuko nchini Iran. Chimbuko la vita inayoendelea nchini ukraine ni maasi ya mwaka 2014!! Je wananchi wa Ukraine wamefaidika na nini kama siyo vifo na maafa lukuki nchini mwao!! Mabeberu hawafai, tena hawafai kabisa.

Hawana aibu kuwachonganisha mkauana wenyewe kwa wenyewe!! Leo Libya wanakumbuka walipokuwa wanatumia maji na umeme bure!! Ukioa unapatya posho!!! Posho ya kutokuwa na ajira ilikuwa ni kubwa kuliko watoayo mabeberu nchini kwao! Leo yote hayo hayapo!! Wananchi wa Iran wameamua kulilia kisu na kuna siku watakipata!!

And those who were in the stadium prior to the start of the game also saw another notable incident, when Iran opted against singing their country’s national anthem in advance of the kick-off, in what many will see as support for the protests taking place in the country.
Umeandika utumbo utafikiri uko Iran. Wacha kuwa msemaji wa raia wa iran wewe. We ndio unajua madhila ya wairan kuliko wao sio. Au walibya chini ya Ghadafi kuliko wao. Kwahiyo ukishapewa kila kitu ndio maisha yanakuwa mazuri chief acha ubwege binadamu kitu cha kwanza kwake ni uhuru ndio mengine yanafuata.
 
Kitendo cha wachezaji wa timu ya Taifa ya Iran kugomea kuimba wimbo wao wa Taifa eti wakiunga mkono maandamano yanayoendelea nchini Iran kupinga serikali ya Iran na sera yake ya stara kwa wanawake. Hiki ni kitendo cha usaliti na ukosaji wa uzalendo wa hali ya juu mno! Wananchi wa Iran wanaelekea kudanganyika kuwa mataifa ya magharibi yanawapenda sana kuliko serikali yao inavyowapenda.

Huko nyuma wananchi wa Libya walishawishiwa kumgomea rais wao Gadafi kwa maandamano na uasi wa kila leo! Leo hii Libya wanalia na hali ngumu na nchi za magharibi hazina habari nao. Wachezaji wa Iran walivyogomea wimbo wa Taifa wamepeleka ujumbe hasi kwa wananchi wenzao na sitashangaa mpaka kombe la dunia litakapoisha uasi utapamba moto sana! Mwisho wa siku kama waklifanikiwa kuiangusha serikali yao mwisho wake ni majuto.

Mwaka 2014 mataifa ya magharibi yalifanikiwa kupandikiza uasi kwa raia wa Ukraine wakaamua kuiasi serikali yao na kumwondoa madfarakani rais wao na nchi za magharibi zikapandikiza kibaraka wao. Huo ndio ulikuwa mwanzo wa machafuko nchini Iran. Chimbuko la vita inayoendelea nchini ukraine ni maasi ya mwaka 2014!! Je wananchi wa Ukraine wamefaidika na nini kama siyo vifo na maafa lukuki nchini mwao!! Mabeberu hawafai, tena hawafai kabisa.

Hawana aibu kuwachonganisha mkauana wenyewe kwa wenyewe!! Leo Libya wanakumbuka walipokuwa wanatumia maji na umeme bure!! Ukioa unapatya posho!!! Posho ya kutokuwa na ajira ilikuwa ni kubwa kuliko watoayo mabeberu nchini kwao! Leo yote hayo hayapo!! Wananchi wa Iran wameamua kulilia kisu na kuna siku watakipata!!

And those who were in the stadium prior to the start of the game also saw another notable incident, when Iran opted against singing their country’s national anthem in advance of the kick-off, in what many will see as support for the protests taking place in the country.

Kila kitu bebesha lawama kwa mataifa mengine. Hii mentality ya viongoz kutokubeba majukumu wanapovurunda na kutafuta wa kumbebesha lawama itakuja kuwa cost siku si nyingi.
 
Kila kitu bebesha lawama kwa mataifa mengine. Hii mentality ya viongoz kutokubeba majukumu wanapovurunda na kutafuta wa kumbebesha lawama itakuja kuwa cost siku si nyingi.
Fikiria ni kwanini Iran walipoamua kufunga mtandao wa internet kama njia ya kuzuia/kudhibiti wimbi la kujazana upepo kuhusu maandamano; mataifa ya magharibi yalifungua VPN inayoruhusu watu ku- access internet bure, ili waendelee kuhamasishwa kwenye vurugu ama maandamano kama tunavyo aminishwa.

Je, bado huoni kuwa maandamano na vurugu zinazoendelea Iran zinachochewa na wamagharibi?
 
Fikiria ni kwanini Iran walipoamua kufunga mtandao wa internet kama njia ya kuzuia/kudhibiti wimbi la kujazana upepo kuhusu maandamano; mataifa ya magharibi yalifungua VPN inayoruhusu watu ku- access internet bure, ili waendelee kuhamasishwa kwenye vurugu ama maandamano kama tunavyo aminishwa.

Je, bado huoni kuwa maandamano na vurugu zinazoendelea Iran zinachochewa na wamagharibi?

Kwanza lazima uanzie mzizi wa tatizo. Limeanzaje? Nani kasababisha? Wameruhusu vipi likakua?

Kufungwa kwa internet or vpn is small part. Large part imeanzia ndani
 
Fikiria ni kwanini Iran walipoamua kufunga mtandao wa internet kama njia ya kuzuia/kudhibiti wimbi la kujazana upepo kuhusu maandamano; mataifa ya magharibi yalifungua VPN inayoruhusu watu ku- access internet bure, ili waendelee kuhamasishwa kwenye vurugu ama maandamano kama tunavyo aminishwa.

Je, bado huoni kuwa maandamano na vurugu zinazoendelea Iran zinachochewa na wamagharibi?
Wasiue watu kisa hijab, labda wimbo wa taifa utaimbwa kwenye kombe la dunia lijalo.
 
Hiyo habari kwamba walibya walikuwa wakipewa fedha baada ya kuoa ni uongo mtupu ni habari ambazo zilitungwa tu na mashabiki wake lakini hakukuwa na kitu kama hicho.

Pia hiyo habari kwamba walibya wanamlilia dikteta Gaddafi pia ni kamba nyingine wanaomlilia ni wachache wa kule kwao Sirte.

Tatizo linalosumbua ni kwamba tawala nyingi hazina ridhaa ya wananchi na kama ni chaguzi basi ni hizi hizi kama za akina Mahera hapa Tanzania ni tawala ambazo zimejipachika zenyewe madarakani kupitia chaguzi feki.
 
Back
Top Bottom