Raia wa Iran wanakaribia kuingizwa mkenge na mabeberu wa magharibi kama walivyofanyiwa raia wa Libya

Raia wa Iran wanakaribia kuingizwa mkenge na mabeberu wa magharibi kama walivyofanyiwa raia wa Libya

Kitendo cha wachezaji wa timu ya Taifa ya Iran kugomea kuimba wimbo wao wa Taifa eti wakiunga mkono maandamano yanayoendelea nchini Iran kupinga serikali ya Iran na sera yake ya stara kwa wanawake. Hiki ni kitendo cha usaliti na ukosaji wa uzalendo wa hali ya juu mno! Wananchi wa Iran wanaelekea kudanganyika kuwa mataifa ya magharibi yanawapenda sana kuliko serikali yao inavyowapenda.

Huko nyuma wananchi wa Libya walishawishiwa kumgomea rais wao Gadafi kwa maandamano na uasi wa kila leo! Leo hii Libya wanalia na hali ngumu na nchi za magharibi hazina habari nao. Wachezaji wa Iran walivyogomea wimbo wa Taifa wamepeleka ujumbe hasi kwa wananchi wenzao na sitashangaa mpaka kombe la dunia litakapoisha uasi utapamba moto sana! Mwisho wa siku kama waklifanikiwa kuiangusha serikali yao mwisho wake ni majuto.

Mwaka 2014 mataifa ya magharibi yalifanikiwa kupandikiza uasi kwa raia wa Ukraine wakaamua kuiasi serikali yao na kumwondoa madfarakani rais wao na nchi za magharibi zikapandikiza kibaraka wao. Huo ndio ulikuwa mwanzo wa machafuko nchini Iran. Chimbuko la vita inayoendelea nchini ukraine ni maasi ya mwaka 2014!! Je wananchi wa Ukraine wamefaidika na nini kama siyo vifo na maafa lukuki nchini mwao!! Mabeberu hawafai, tena hawafai kabisa.

Hawana aibu kuwachonganisha mkauana wenyewe kwa wenyewe!! Leo Libya wanakumbuka walipokuwa wanatumia maji na umeme bure!! Ukioa unapatya posho!!! Posho ya kutokuwa na ajira ilikuwa ni kubwa kuliko watoayo mabeberu nchini kwao! Leo yote hayo hayapo!! Wananchi wa Iran wameamua kulilia kisu na kuna siku watakipata!!

And those who were in the stadium prior to the start of the game also saw another notable incident, when Iran opted against singing their country’s national anthem in advance of the kick-off, in what many will see as support for the protests taking place in the country.
Ulichoandika ni kweli tupu
 
Tatizo sio hijab au baibui , tatizo ni mataifa kuingilia sio za kwao. Hijaab sio tatizo ni kanuni ya nchi . Kama Tanzania kuna mavazi yanayoruhusiwa ambayo inatofautiana na magharibi , kesho wanakuja kukuambia kama njoo ufanye fujo kisa wanawake hawaruhusiwa kuvaa nguo zisizo za kistaarabu au zenye heshima .

Tatizo sio vazi , tatizo ni mfumo wa Wilayat na uongozi kamilifu wa kiislamu , na shida ni kwamba maendeleo ya Iran ni simu Kwa ajili ya wamagharibi. Sababu ni kuwa magharibi wanaendesha dunia Kwa mfumo wa liberalism , na hk . Maendeleo ya Iran yanakanusha kuwa dunia inaweza kufanikiwa nje ya mfumo uliyowekwa na wamagharibi .

Ukiwaza kiduchu utaelewa kwanini wana tatizo na Iran .
 
Kitendo cha wachezaji wa timu ya Taifa ya Iran kugomea kuimba wimbo wao wa Taifa eti wakiunga mkono maandamano yanayoendelea nchini Iran kupinga serikali ya Iran na sera yake ya stara kwa wanawake. Hiki ni kitendo cha usaliti na ukosaji wa uzalendo wa hali ya juu mno! Wananchi wa Iran wanaelekea kudanganyika kuwa mataifa ya magharibi yanawapenda sana kuliko serikali yao inavyowapenda.

Huko nyuma wananchi wa Libya walishawishiwa kumgomea rais wao Gadafi kwa maandamano na uasi wa kila leo! Leo hii Libya wanalia na hali ngumu na nchi za magharibi hazina habari nao. Wachezaji wa Iran walivyogomea wimbo wa Taifa wamepeleka ujumbe hasi kwa wananchi wenzao na sitashangaa mpaka kombe la dunia litakapoisha uasi utapamba moto sana! Mwisho wa siku kama waklifanikiwa kuiangusha serikali yao mwisho wake ni majuto.

Mwaka 2014 mataifa ya magharibi yalifanikiwa kupandikiza uasi kwa raia wa Ukraine wakaamua kuiasi serikali yao na kumwondoa madfarakani rais wao na nchi za magharibi zikapandikiza kibaraka wao. Huo ndio ulikuwa mwanzo wa machafuko nchini Iran. Chimbuko la vita inayoendelea nchini ukraine ni maasi ya mwaka 2014!! Je wananchi wa Ukraine wamefaidika na nini kama siyo vifo na maafa lukuki nchini mwao!! Mabeberu hawafai, tena hawafai kabisa.

Hawana aibu kuwachonganisha mkauana wenyewe kwa wenyewe!! Leo Libya wanakumbuka walipokuwa wanatumia maji na umeme bure!! Ukioa unapatya posho!!! Posho ya kutokuwa na ajira ilikuwa ni kubwa kuliko watoayo mabeberu nchini kwao! Leo yote hayo hayapo!! Wananchi wa Iran wameamua kulilia kisu na kuna siku watakipata!!

And those who were in the stadium prior to the start of the game also saw another notable incident, when Iran opted against singing their country’s national anthem in advance of the kick-off, in what many will see as support for the protests taking place in the country.
Nonsense
 
Mmezoea kuitungia Marekani uongo kuhusu nchi nyingine za kidikteta zilizoharibika kwa vurugu za siasa duniani bahati nzuri sana hii ya Iran kila mtu anajionea mwenyewe tangu mwanzo jinsi gani utawala wa Ayatollah unavyokaribia kuitumbukiza nchi yake katika vita na vurugu.
 
Ni wapi ambako marekani iliweza kuwapatia watu maisha bora na huru baada ya kuuondoa utawala uliokuwepo? Maisha ya Libya ikiwa ni mfano!
wewe rafiki unakuwa kama huwajui waislamu? (mnisamehe) Wanagombea kufunga sala (eti mtume alifunga sala kifuani na si chini ya kitovu maana ni karibu na mavi na wanapigana mpaka kuuana) sembuse haya mambo makubwa!!!
 
Kitendo cha wachezaji wa timu ya Taifa ya Iran kugomea kuimba wimbo wao wa Taifa eti wakiunga mkono maandamano yanayoendelea nchini Iran kupinga serikali ya Iran na sera yake ya stara kwa wanawake. Hiki ni kitendo cha usaliti na ukosaji wa uzalendo wa hali ya juu mno! Wananchi wa Iran wanaelekea kudanganyika kuwa mataifa ya magharibi yanawapenda sana kuliko serikali yao inavyowapenda.

Huko nyuma wananchi wa Libya walishawishiwa kumgomea rais wao Gadafi kwa maandamano na uasi wa kila leo! Leo hii Libya wanalia na hali ngumu na nchi za magharibi hazina habari nao. Wachezaji wa Iran walivyogomea wimbo wa Taifa wamepeleka ujumbe hasi kwa wananchi wenzao na sitashangaa mpaka kombe la dunia litakapoisha uasi utapamba moto sana! Mwisho wa siku kama waklifanikiwa kuiangusha serikali yao mwisho wake ni majuto.

Mwaka 2014 mataifa ya magharibi yalifanikiwa kupandikiza uasi kwa raia wa Ukraine wakaamua kuiasi serikali yao na kumwondoa madfarakani rais wao na nchi za magharibi zikapandikiza kibaraka wao. Huo ndio ulikuwa mwanzo wa machafuko nchini Iran. Chimbuko la vita inayoendelea nchini ukraine ni maasi ya mwaka 2014!! Je wananchi wa Ukraine wamefaidika na nini kama siyo vifo na maafa lukuki nchini mwao!! Mabeberu hawafai, tena hawafai kabisa.

Hawana aibu kuwachonganisha mkauana wenyewe kwa wenyewe!! Leo Libya wanakumbuka walipokuwa wanatumia maji na umeme bure!! Ukioa unapatya posho!!! Posho ya kutokuwa na ajira ilikuwa ni kubwa kuliko watoayo mabeberu nchini kwao! Leo yote hayo hayapo!! Wananchi wa Iran wameamua kulilia kisu na kuna siku watakipata!!

And those who were in the stadium prior to the start of the game also saw another notable incident, when Iran opted against singing their country’s national anthem in advance of the kick-off, in what many will see as support for the protests taking place in the country.
Hata kama ni propaganda za magharibi ila ukweli mchungu wanawake wa nchi hizo za itikadi kali za kiislamu hua wanaishi maisha makali sana kitu wanacho ruhusiwa wao kufanya ni kukaa hai peke yake wakiwa wanachungwa kama makondoo
JamiiForums1570218883.jpg
 
Back
Top Bottom