green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Kwa huu utovu wa nidhamu raia hamna budi kupigwa tu na makamandaMasoja ni majinga, mengi shule imepita kushoto, kupiga watu hakurudish mtu aliekufa, hayanaga akili masoja yan akishindwa mmoja yanakuja kwa kikundi, a man fights by himself…ndio mana wahuni wakimkuta soja pekeake wanampapasa matako sababu wanajua ni lilaini kama papai, yakiwa mengi yanajifanya maninja pumbavu kabisa….
Dua la kuku brotherHata maandiko yamesema kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe, malipo ya dhuluma ni kifo, kila mmoja wa hao MPs hio dhuluma itamuua na kutesa vizazi vyao vyote
Bila shaka nawe ulifikiwa na huduma za maninja endelea kuuguza makongoro [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maninja wamelainika kama mapapai aiseee
Majinga hayo nimeona video ya yule dogo alokuwa na ist wanajiona watu kumbe pichu tu, alafu tushawajua ni wangese tu yan bila kuwa vikundi vikundi wanapakwa mafuta vizuri tu wanalainikaBila shaka nawe ulifikiwa na huduma za maninja endelea kuuguza makongoro [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kosa ! Wahalifu Wote Wanapaswa kushikiliwa na Polisi.Kwa kifupi sana nasema hivi kama police wa Kawe wangemkabidhi muuaji ambaye ni Kato hayo yote yasingetokea. Hii iwe ni warning kwa jeshi la police popote.
Kama unabisha sawa hayo ya Kawe yatakuwa sehemu ya maisha popote pale Tanzania.
It is what it is, it pains but swallow it the hard way.
Mwaka 2015 kwenye uchaguzi S.H Amon aliumiza raia huko Mbeya kwa kukodi wanajeshi ili kusaidia CCM ishinde ubunge Rungwe Magharibi, Kawe sio special kwa chochote kile.
Ndio maisha
Wadiz
Muna aka Deo was very rude, how can a Lt.colnel argue with a civilian? One day I remember that He told someone to hit my car [emoji24][emoji24][emoji24] RIP shemela wangukwan upuuz si wa Muna , unapakije kijinga jinga barabaran
Hilo lilikua kutoa funzo kwa wengine.Kupiga Watu wasiohusika ni dalili ya uoga. Kutisha Watu wasijue udhaifu wako.
Safi sana, akivunja mlango na kuingia ndani kwako mpe kipigo cha jambazi. Wananchi mnapaswa KUJIHAMI kwa namna yoyote dhidi ya haya MAGENGE ya serikali ya CCMHalafu jichunguze kwanini uonewe na mwanajeshi unayeonewa ni bwege bwege jana kuna mjeda kala manati sijui anaendeleaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnaonea watu wa Dsm tu nyie maboya, huku kanda ya ziwa wanajeshi wanaishi kwa adabu hakuna ujinga ujinga wa namna hiyoHilo lilikua kutoa funzo kwa wengine.
Silaha yoyote ikitumika visivyo ndo unajikuta umeua,
Iwe kisu,panga,bisibisi,wembe, jembe hata rungu.
Huyo Kato kamuua mjeda unaweza kuta ni fala tu,mjeda kamchukulia poa kaenda kuvuta bisibisi na sidhani km nia yake ilikua kuua.
Ndo ishatokea miaka 30 itamuhusu km si maisha.
Na majirani mtaani watataabika sana hapo ukwamani.
Una miaka mingap mkuu?........assume mmoja wapo kati ya hao soja ni mwanao wa kiume au binti yako........Masoja ni majinga, mengi shule imepita kushoto, kupiga watu hakurudish mtu aliekufa, hayanaga akili masoja yan akishindwa mmoja yanakuja kwa kikundi, a man fights by himself…ndio mana wahuni wakimkuta soja pekeake wanampapasa matako sababu wanajua ni lilaini kama papai, yakiwa mengi yanajifanya maninja pumbavu kabisa….
Mkuu sio ishu ya umri wala kuwa mwanangu wala nini upumbavu ni upumbavu tu, mfano huyo dogo alivyopigwa makofi angeenda police jushitaki angesikilizwa ? Hapana wasingemsikiliza na ndio mana kachukua sheria mkononi, askari wa tanzania wanaupuuzi fulani ivi ambao haupo nchi zingine, ila kuna kitu watakuwa wamejifunza. Anyways tuseme wako sawa upstairs alieua yupo ndani, ninyi mnapita kupiga watu mtaani why ? Wamekosa nini hawa watu mtaani ? Mnataka wawaone nyie ni miamba ? Mbona usengelema mwingine upo wazi sana hautaji hata mtu kueleza. Hili litapita watajusahau tena atakuja mtaan mwingine pekeake atapakwa mafuta atalainika….Una miaka mingap mkuu?........assume mmoja wapo kati ya hao soja ni mwanao wa kiume au binti yako........
Mkuu ushauri wako ni mzuri lkn haipaswi kwenda ivo unataka tuanze kutengeneza maadui then tuanze kupigwa matukio ya kigaidi.Acha waendelee kuzurura humuhumu tuendelee kuishi kwa aman.shida pia ni kuwaachaacha tu hawa askari wamekakaa tu bila kufanya production au kuwapeleka mara kwa mara kwenye mapigano.
Ni wakati sasa kwa Serikali kuchukua contracts za mapigano na kuwapeleka hawa jamaa wakawe busy huko, mfano kuanza kuendesha operation za ulinzi deep sea huko maeneo ya maharamia kulinda bahari na kuchukua malipo kwenye makampuni ya meli, kuchukua dili mbalimbali nakuwapeleka hata Yemeni huko, Sudani pale kuna vita yaende yakatulize shida pale au hata kuusaidia upande mmoja kwa malipo ya hela, yamepelekwe hata huko Russia au Ukraine yakaside upande mmoja Taifa lipate hela, yaende hata Gaza pale yakasaidie Palestina na kuchukua mkwanja.