Raia wa Kawe kupigwa kininja na MPs wa kambi ya Lugalo walaumiwe Polisi kwa kukaidi kumkabidhi muuaji Kato kwa hao MPs

Raia wa Kawe kupigwa kininja na MPs wa kambi ya Lugalo walaumiwe Polisi kwa kukaidi kumkabidhi muuaji Kato kwa hao MPs

Kama kosa ni la polisi kikaidi kumkabidhi mtuhumiwa kwao,kwanini hao askari wasiwe wanaenda kila siku kwenye kituo husika wanapiga hao polisi,hadi wakabidhiwe mtuhumiwa husika...?
Tena wapumbavu flani husema JW mmoja,ni sawa na askari polisi 200,sasa kwanini asutumwe MP mmoja tu,akamchukue mtuhumiwa kwa nguvu..,aone kama atakutana na bisibisi au nini hapo kituoni.Ni ujinga tu,waendelee kurudi hapo Kawe,wapige wananchi tu,wataona akili za wananchi,wao si wamekariri BISIBISI,watashangazwa pale watakapofanyiwa sapraizi na kingine.
 
Sasa si muende polisi mkachukue?Nyie si mnanguvu mnashindwa nini kuvunja kituo mmchukue kama mnahasira sana.Hii inaonnyesha hamtumii akili mnakuwa kama manyumbu kupiga watu wasio na kosa.Na hiki ndicho kilimkost boss wenu akapigwa bisibisi na Kato
 
Wenzenu wapo huko wanapigania nchi zao nyie kazi kuingia majumbani kwa watu kuwakatisha kunya.Makanali wengine wanafia vitani wakipigania nchi nyie mnakazi ya kupigana na wananchi na mkipigwa bisibisi mnageuka mbogo.Ni muda sasa Rais awazidishie majikumu maana mnaonekana hamna kazi kiasi cha kuvamia makazi ya Raia
 
Police walizingua walikataa kumkabidhi muuaji kwa wale maninja a.k.a MPs
Sasa kama police walikataa kumtoa mtuhumiwa kwa jeshi,si hao wanajeshi wangelipua kituo chote ili wamchukuwe mtuhumiwa wao!? Naona sasa tunaishi bila ya utawala wa sheria!!
 
Kaka kazi ya jeshi la polisi ni kulinda usalama wa raia na mali zao na kazi ya jeshi la wananchi ni kulinda mipaka ya Nchi. Jeshi halina mamlaka ya kuingilia kazi ya polisi. Kwani raia wana mahakamani zao na jeshi wana mahakama zao. Mtuhumiwa ni raia lazima akamatwe apelekwe polisi hatua nyingine zifuate.
Somo la haki jinai naliona bado sana kwa watanzania wengi,ndiyo maana raia wengine wanailaumu police kwa nini haikumtoa mtuhumiwa kwa jeshi!!
 
Wewe naye sijui umekunywa ulanzi asubuhi yote hii
Wamkabidhi kwa jeshi kwa sheria ipi?
Hilo ni jukumu la polisi hao wajeda washenzi wasiokuwa na akili ilitakiwa watulie huko kambini kwao
Kwahyo umeona bora kumtukania na ulanzi wetu??

Kwa niaba ya wahehe,wakinga na wabena wote nasema hivi tumekasilishwa na maoni yako kwa kosa la kutukana ulanzi.
 
Jihadhari ni mwiko Raia kwa namna yoyote ile kumgusa pot jua hivyo, akikukosea chukua namba zake au ya gari yake nenda Kambini kashitaki nenda na barua ya mtendaji.
Wwe kweli akili zako hazina akili, kwa hiyo hata baba yako akila kichapo na wanajeshi ni sahihi kisa tu kuna msela mmoja wa kuitwa kato wala humjui eti kamgusa mwanajeshi!!? Kwanza wwe una miaka mingapi hapa Duniani toka uje!!???
 
Masoja ni majinga, mengi shule imepita kushoto, kupiga watu hakurudish mtu aliekufa, hayanaga akili masoja yan akishindwa mmoja yanakuja kwa kikundi, a man fights by himself…ndio mana wahuni wakimkuta soja pekeake wanampapasa matako sababu wanajua ni lilaini kama papai, yakiwa mengi yanajifanya maninja pumbavu kabisa….
[emoji23][emoji849][emoji23][emoji23]
 
Na Raia wa kawe wamesema nyie mna wapiga ila wao watakuwa wanawapumzisha kwa amani mmoja baada ya mwingine. Sababu mkiwa mmoja mmoja mnakuwa dhaifu kama wanawake malaya. Wakaongezea mkimaliza kuwapiga muwe umnanywea pombe huko huko kambini mkijichanganya huku nk mwendo wa sumu mkajifie kwenye hanga huko. KAZI IENDELEE
Hii safi sana.
 
You can call them pig fighters, such kind of act is done by all spies of pigs, call it a memorable shame
"Jeshi la sita Duniani la piga Raia wasiokua na hatia" By Burundi news paper!!
 
Kama kosa ni la polisi kikaidi kumkabidhi mtuhumiwa kwao,kwanini hao askari wasiwe wanaenda kila siku kwenye kituo husika wanapiga hao polisi,hadi wakabidhiwe mtuhumiwa husika...?
Tena wapumbavu flani husema JW mmoja,ni sawa na askari polisi 200,sasa kwanini asutumwe MP mmoja tu,akamchukue mtuhumiwa kwa nguvu..,aone kama atakutana na bisibisi au nini hapo kituoni.Ni ujinga tu,waendelee kurudi hapo Kawe,wapige wananchi tu,wataona akili za wananchi,wao si wamekariri BISIBISI,watashangazwa pale watakapofanyiwa sapraizi na kingine.
Mi nashauri, ajira za jeshi ziwe za kujitolea na si za mishahara, maana kuna watu wao akili zao ziko kwa mshahara tu,na wala si wito wa kufanya kazi kwa uzalendo!!
 
Mi nashauri, ajira za jeshi ziwe za kujitolea na si za mishahara, maana kuna watu wao akili zao ziko kwa mshahara tu,na wala si wito wa kufanya kazi kwa uzalendo!!

Mi nashauri, ajira za jeshi ziwe za kujitolea na si za mishahara, maana kuna watu wao akili zao ziko kwa mshahara tu,na wala si wito wa kufanya kazi kwa uzalendo!!
Hakika.
 
Mi nashauri, ajira za jeshi ziwe za kujitolea na si za mishahara, maana kuna watu wao akili zao ziko kwa mshahara tu,na wala si wito wa kufanya kazi kwa uzalendo!!
Ili majambazi mpate kombati Za bure?
 
Wewe naye sijui umekunywa ulanzi asubuhi yote hii
Wamkabidhi kwa jeshi kwa sheria ipi?
Hilo ni jukumu la polisi hao wajeda washenzi wasiokuwa na akili ilitakiwa watulie huko kambini kwao
Hana akili sasa kesi ya mauaji wapewe wanajeshi sio mzima mleta mada
 
Back
Top Bottom