Ni upuuuzi uliotukuka kujilinganisha n Kenya muda wooooooote.
Kenya wana pesa n mzunguko wao wa pesa ni mkubwa kuliko kwetu. Kenya walishajenga miundombinu n mazingira rafiki kuvutia wawekezaji wa kubwa wa kubwa kutoka pande zote za dunia, sisi ndio kwanzaa tunaanza. Kwa ufupi wa Kenya wapo mbali sana kiuchumi.
Ni aibu kujilinganisha n Kenya ukizingatia wa tanzania tuliiona fly over ya kwanza kwenye ardhi yetu nadhani 2017, mfugale fly over ilhali Kenya iliviona vyote tangu 2008-11. Ndio kwanzaa tumeanza kujenga kibaha highway yetu ilhali Kenya sasa walijenga yao enzi za kibaki.
Kwa ufupi Kenya wapo mbali sana kujilinganisha nao. Ila hili halimaanishi sisi pia tupo nyuma kwenye kila idara. Sifa n moja ya Tanzania ni wananchi wake wenye mioyo ya dhahabu. Wakenya ni makatili sana. Mtu akionekana anaiba kariakoo, 70% ukiskia 'mwizii basi kafa.
Kenya kila mtu ajitegemee. Kuibiwa mchanaaa mbele ya watu ni kawaida. Ukikutana n mtu sehemu yenye kiza Kenya basi ni lazima ujiandae kwa lolote maana watu usiku hawaaminiki.
Pia, pongezi kwa viongozi wetu kwa kutujengea kutujengea infrastructure za kisasa*barabara nadhifu ijapokuwa chache, stendi za mabasi zenye hadhi ya kimataifa kama gerezani, mbezi, mawasiliano nk vitu ambavyo Kenya hawana bus stands, zilizopo kipindi cha masika hazitofautiani na soko la mabibo, matope hatari~ country bus opposite *muthura Market, ile stand yenye iko besides TUK, penye magari za ongata n kite hukuwa.
Classic electric SGR. Tanzania tuna serekali ya kidikteta ambayo inatujali wananchi wake ukilinganisha na wakenya wanaoongozwa na magaidi ambao ukikaa mbele yao, kufa ni pap tu tofauti n sisi serikali yetu inawauwa mahasimu wake kwa ustaarabu kidogo, wachache sana.
Tanzania tuna mapolisi wakarimu, akiuwa wananchi anafungwa, Kenya polisi akinyooshea bunduki lala chini, ukikimbia marehemu. Kenya ugaidi umekithiri, sio kiivyo ila afadhali Tanzania majambazi tu wanajitafutia riziki.
Kwa ufupi Kenya ipo mbali sana kiuchumi. Sisi kimaisha tupo mbaali sana maana ijapokuwa tunapolekeshwa zoblezoble, ina wananchi wake tuna raha n unaishi kwa amani.
So nchi zote zima raha zake na shida zake. Kenya kwa starehe wapo next level, clubs zimejaa kubwa kubwa kama nyumba za wageni zilivyojaa Sinza, hadhi kulingana n mfuko wako. Ni vitu vichache ila ni uhalisia mtupu.