Raia wa Kenya ni masikini kuliko Watanzania

Sasa wakiwa na maisha magumu sisi inatusaidia vipi? Ww ulivyoenda huko kenya hakuna mazuri uliyoyaona na ukajifunza ili uwe bora zaidi?
Yeye kaona mabaya nenda na wewe uone mazuri uje kutusulia.


Ng'ombe wewe
 
Sasa waTz wangapi wana 30M? 😂
Mkuu watu wanahela ohooo hio 30m watu wanaingiza daily unaandika mataputapu hapa tena sio moja au wawili wengi tu


Yaani daah comment ya ki pumbavu sana hii 🤣🤣🤣
 
Jkn hapa alicheza kama pele. Mimi babu yangu mzaa babu alikuwa anamiliki almost vijiji viwili na wote waliokuwa wanaishi mle wafanyakazi wake.
Ila ndio hvyo baada ya huo utaratibu ikabido waichukue hiyo ardhi na ndio wakapata ardhi ambao mpaka leo wanaimiliki.
Hili suala kuna wanaosema alifanya vibaya ila mimi naona ni suala zuri kabisa
 
Kama
Kenyatta family
Moi family
Odinga family
Ruto family

Hao ndo wanalamba asali ya nchi kama sijui nn

Sema hamna self made billionaire sijui kwann asee
 
Acha basi msumbiji rolls royce zimepaki sehemu haxieleweki wakati Arusha hamna da aa hii noma asee
 
Kuna jamaa mkenya alikuwa anashangaa sana restaurants za huku zilivyo na mionekano mizuri, alikuwa anawashangaa hata mama ntilie wa huku pia kwani alikuwa akisema kwamba kule kenya restaurant tunazolia huku kule huwezi kuzipata na ukizipata basi gharama zipo juu sana imagine hawa wamama ntilie tunaowaona huku kwetu wanaouza vyakula 2000tsh kule kwao ukimpata kama huyo na ukupikie fresh food kama anachopika mmama wa hapa kule atauziwa bei ghali sana kwahiyo mara nyingi kule kwao watu wa hali hizi ambazo kwetu tunaita ni hali za kawaida kwao ni high levels.
 
Mkuu watu wanahela ohooo hio 30m watu wanaingiza daily unaandika mataputapu hapa tena sio moja au wawili wengi tu


Yaani daah comment ya ki pumbavu sana hii 🤣🤣🤣
Mtu akishaanza kutukana huwa nawaza nijibu comment au niache, sikia mi sina tatizo na mabishano yenu ya ukenya na UTz, swali langu kama waTz wapo wengi wenye 30M nini kinafanya wakenya wasiwepo wenye 1.7M? Kwamba huku kuna biashara nyingi na kubwa kuliko kenya! and why?

Na ni WaTz wangapi wanamiliki hizo 30M hata kwa asilimia ili tuone ni kwa jinsi gani tuko ahead of Kenya, speaking of kuiingiza kwa siku mbona wapo wanaingia zaidi ya hiyo na wala sio jibu la swali nililouliza.
 
Ndo mana
Ni ngumu sn kumkuta mtanzania anazamia Kenya kutafta maisha
Uzuri ni kwamba mimi naishi Karibu na mpaka. Tangu utotoni nimeona na kukutana na watanzania wengi waliokuja kutafuta maisha huku Kenya. Nikiwa mtoto, wazazi wangu waliwaajiri watanzania wengi sana kutuchungia ng'ombe enzi hizo. Hata hivi leo, watanzania wako wengi sana Kenya kikazi na kibiashara pia, wengine wanazungusha hadi bakuli kwenye mitaa na barabara zetu. Enda Nairobi, utakutana na wachaga wengi sana wakiuza viatu Gikomba. Sema tu hujui unachosema
 
Kwa wakenya,
Ni rahisi Sana kijana unapambana Hadi unazeeka, unakufa bila kumiliki ardhi

Na usipoweka mifumo thabiti,
Hadi kizazi chako Cha 10 mtafia nyumba za kupanga
DeepPond acha kupotosha jamani, sisi wakenya Ni wapambanaji Sana
 
Kenya wana maisha magumu sana hasa raia wa kawaida, mkifuatilia maisha ya wakenya msiishie mijini......zama ndani ndani mtajua ukweli ni upi
 
Kenya wana maisha magumu sana hasa raia wa kawaida, mkifuatilia maisha ya wakenya msiishie mijini......zama ndani ndani mtajua ukweli ni upi
Ni kweli wakenya wengi wana maisha magumu na ni masikini lakini umasikini wetu haijafika hii level yenu
 
Achana nae huyo mil 30 pesa ndogo sana kwa mtu mwenye biashara hapa bongo. Nakutolea mfano tu nina rafik yangu mdogo tu ana miaka 28 ila saiv kafikisha milion 60 ktk account na nyumba yupo kwenye stage ya kupaua.

Mwezi ulioisha kanionesha salio Lake 61Milion. Anauza viazi t anafata mbeya analeta dar na hajashikwa mkono na mtu yoyote.

Kwahyo mil 30 watu wengi tu wanayo hapa bongo
 
Kabisa aisee mfano hapa bongo vijana wengi tuna miliki ardhi. Respect kwake JKN
 
Kabisa aisee mfano hapa bongo vijana wengi tuna miliki ardhi. Respect kwake JKN
Kweli kabisa, hivi mlala hoi kama mimi namiliki ardhi Bongo, Mwanza hata kama kwa miaka 33 au 66 si eneo langu naliendeleza, maana shariti kubwa la kunyang'aywa ardhi ni kama HAUENDELEZI.
 
Mbaya zaidi ukiwakuta mtandaoni wanavyojitutumua sasa utachoka....ila kwa Africa Tanzania mwananchi wa kawaida ana maisha mazuri kuliko nchi nyingi.
Umeitembea Afrika wew au unalopoka tu kufurahisha Genge. Kwa Afrika hii nchi zenye quality ya maisha ukiondoa South Africa🇿🇦 Morocco🇲🇦 Botswana🇧🇼 na Egypt🇪🇬. Hizo nchi zingine zilizobaki zote ni chai tuu pamoja na Bongo yako🇹🇿 kuku wewe☹️☹️.
 
Koma wewe usirudie kuniquote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…