Raia wa Marekani Wanapenda kuvaa nguo Zinazofanana na Sare za Jeshi, Pia wanaweka Bendera ya Taifa Nyumbani

Raia wa Marekani Wanapenda kuvaa nguo Zinazofanana na Sare za Jeshi, Pia wanaweka Bendera ya Taifa Nyumbani

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Naamini kati ya majeshi 6 bora duniani ambapo jeshi letu (JWTZ) ni la 6, naamini kwenye ma 5 yajuu jeshi la Marekani litakuwepo. Sasa kwanini raia wa Marekani wanavaa nguo zinazofanana na jeshi na hawachukuliwi hatua?

Wanashindwaje kudhibiti hili jambo? Au wao hawapo kwenye orodha ya majeshi bora duniani?

Pili, kwanini Wamarekani wanaruhusiwa kuweka bendera ya taifa hata geto? Sisi tunahofia nini au wamarekani haimo kwenye orodha ya nchi zenye raia wazalendo?
 
Naamini kati ya majeshi 6 bora duniani ambapo jeshi letu (JWTZ) ni la 6, naamini kwenye ma 5 yajuu jeshi la Marekani litakuwepo. Sasa kwanini raia wa Marekani wanavaa nguo zinazofanana na jeshi na hawachukuliwi hatua?

Wanashindwaje kudhibiti hili jambo? Au wao hawapo kwenye orodha ya majeshi bora duniani?

Pili, kwanini Wamarekani wanaruhusiwa kuweka bendera ya taifa hata geto? Sisi tunahofia nini au wamarekani haimo kwenye orodha ya nchi zenye raia wazalendo?

Marekani sheria haikatazi mtu kuvaa hayo mavazi ndio maana Wamarekani wanavaa na hakuna tatizo.Tanzania kwa mujibu wa sheria hairuhusiwa “raia” yeyote kuvaa mavazi ya jeshi la Tanzania isipokuwa kwa ruhusa ya Rais au ukawaombe wahusika wa hayo mavazi mf wasanii.Bendera zipo zinauzwa ILA sheria inakataza kwa matumizi mabaya.
 
Akili za Mtanzania ni finyu mno!
Na kwasababu hiyo ndio maana ni maskini wa kutupa na bado yuko anaamini uchawi, nguvu za giza na kulogana!
Ni kujipendekeza na kujidekeza tu.Unakuta mmoja kapewa madaraka makubwa(kapewa) ila anahamasisha kuukumbatia umasikini wa akili.Na hatimaye hata mali zinagoma kuingia kwenye akili zilizozingirwa kwa ufukara.Fikiria,watu wanahimizwa uzalendo halafu wakionesha uzalendo wanachapwa.Bendera au nguo mfanano wa zile za jeshi ndiyo iwe nongwa kutumiwa na raia?
 
Naamini kati ya majeshi 6 bora duniani ambapo jeshi letu (JWTZ) ni la 6, naamini kwenye ma 5 yajuu jeshi la Marekani litakuwepo. Sasa kwanini raia wa Marekani wanavaa nguo zinazofanana na jeshi na hawachukuliwi hatua?

Wanashindwaje kudhibiti hili jambo? Au wao hawapo kwenye orodha ya majeshi bora duniani?

Pili, kwanini Wamarekani wanaruhusiwa kuweka bendera ya taifa hata geto? Sisi tunahofia nini au wamarekani haimo kwenye orodha ya nchi zenye raia wazalendo?
Tuna hofu tusiyojua ni ya nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani sheria haikatazi mtu kuvaa hayo mavazi ndio maana Wamarekani wanavaa na hakuna tatizo.Tanzania kwa mujibu wa sheria hairuhusiwa “raia” yeyote kuvaa mavazi ya jeshi la Tanzania isipokuwa kwa ruhusa ya Rais au ukawaombe wahusika wa hayo mavazi mf wasanii.Bendera zipo zinauzwa ILA sheria inakataza kwa matumizi mabaya.
Miaka ya nyuma tulifundishwa kila raia ni mwanajeshi....Sasa kuonyesha upendo na uzalendo..tulitegemea tupige mabaka mabaka
Akili za Mtanzania ni finyu mno!
Na kwasababu hiyo ndio maana ni maskini wa kutupa na bado yuko anaamini uchawi, nguvu za giza na kulogana!
Sema yote lakini kuloga kupo........ukikuwa utayaona.
 
Naamini kati ya majeshi 6 bora duniani ambapo jeshi letu (JWTZ) ni la 6, naamini kwenye ma 5 yajuu jeshi la Marekani litakuwepo. Sasa kwanini raia wa Marekani wanavaa nguo zinazofanana na jeshi na hawachukuliwi hatua?

Wanashindwaje kudhibiti hili jambo? Au wao hawapo kwenye orodha ya majeshi bora duniani?

Pili, kwanini Wamarekani wanaruhusiwa kuweka bendera ya taifa hata geto? Sisi tunahofia nini au wamarekani haimo kwenye orodha ya nchi zenye raia wazalendo?
Wamarekani na bendera yao huwaambii kitu.

Nilikuwa nafanya mazoezi ya kukimbia jioni hapa mtaani, kila sehemu bendera, kuna jamaa mmoja ni Irish-American, mbwle kaweka bendera ya Marekani, nyuma ya Ireland.

Nimeingia barabara kubwa nikavuka ki daraja cha overpass, nikakuta kuna mtu kaweka kibendera cha Marekani.

NIkasema hii nchi hata ukidondoka ghafla huchelewi kujua hapa Marekani.

Bendera kika sehemu.

Hapo bado kwenye nguo, kofia, mpqka ukiingia nyumbani watu wanaweka bendera ndani, wengine mpaka mashuka na mito bendera ya Marekani.

Wengine utakuta hawaipeperushi wameifunga pembetatu inakuwa imekaa katika kibao imefungiwa iko ndani ya mbqo inaonekana katika glass.

Watu wanaipenda nchi yao.
 
Huo ni ulimwengu wa kwanza, sisi bado tuko wa tatu.
 
Naamini kati ya majeshi 6 bora duniani ambapo jeshi letu (JWTZ) ni la 6, naamini kwenye ma 5 yajuu jeshi la Marekani litakuwepo. Sasa kwanini raia wa Marekani wanavaa nguo zinazofanana na jeshi na hawachukuliwi hatua?

Wanashindwaje kudhibiti hili jambo? Au wao hawapo kwenye orodha ya majeshi bora duniani?

Pili, kwanini Wamarekani wanaruhusiwa kuweka bendera ya taifa hata geto? Sisi tunahofia nini au wamarekani haimo kwenye orodha ya nchi zenye raia wazalendo?
idi-amin-laugh.gif
 
Naamini kati ya majeshi 6 bora duniani ambapo jeshi letu (JWTZ) ni la 6, naamini kwenye ma 5 yajuu jeshi la Marekani litakuwepo. Sasa kwanini raia wa Marekani wanavaa nguo zinazofanana na jeshi na hawachukuliwi hatua?

Wanashindwaje kudhibiti hili jambo? Au wao hawapo kwenye orodha ya majeshi bora duniani?

Pili, kwanini Wamarekani wanaruhusiwa kuweka bendera ya taifa hata geto? Sisi tunahofia nini au wamarekani haimo kwenye orodha ya nchi zenye raia wazalendo?
Marekani kuna utawala wa Katiba na sheria, Tz hatuna, tunafuata matamshi na mapendekezo ya watu.
 
Kina Lil Wayne wanatamba na gwanda na bendera za taifa lao, sisi huku tunapigwa marufuku mpaka vitambaa vinavyofanana na bendera ya taifa. Niliuliza kama nguo zenye mabaka wanakataza je vitu vingine kama kalamu na midoli nayo watasaka? Kwa hiyo hiyo midoli watawapelekea watoto wa wanajeshi wakachezee? Kule USA raia wao wako huru kujivunia vitu vinavyotambulisha taifa lao,
 
Back
Top Bottom