Bechede
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 872
- 2,422
Jeshi letu ni la sita (6) duniani, naamini tuko vizuri katika nyanja karibia zote kuanzia teknolojia mpaka kufanya biashara.
Sasa kuna watu ni wabishi hawataki kuamini sijui mpaka walione jeshi lao mwezini na roketi?
We unaambiwa jeshi lako ni la sita duniani, huyo ghafla ushakimbilia google, acheni ujuani aise, hizo data hazijapikwa ni za kuaminika toka katika jeshi letu.
Sasa kuna watu ni wabishi hawataki kuamini sijui mpaka walione jeshi lao mwezini na roketi?
We unaambiwa jeshi lako ni la sita duniani, huyo ghafla ushakimbilia google, acheni ujuani aise, hizo data hazijapikwa ni za kuaminika toka katika jeshi letu.