Basi watakuwa si wazalendo kama sisi.Wamarekani na bendera yao huwaambii kitu.
Nilikuwa nafanya mazoezi ya kukimbia jioni hapa mtaani, kila sehemu bendera, kuna jamaa mmoja ni Irish-American, mbwle kaweka bendera ya Marekani, nyuma ya Ireland.
Nimeingia barabara kubwa nikavuka ki daraja cha overpass, nikakuta kuna mtu kaweka kibendera cha Marekani.
NIkasema hii nchi hata ukidondoka ghafla huchelewi kujua hapa Marekani.
Bendera kika sehemu.
Hapo bado kwenye nguo, kofia, mpqka ukiingia nyumbani watu wanaweka bendera ndani, wengine mpaka mashuka na mito bendera ya Marekani.
Wengine utakuta hawaipeperushi wameifunga pembetatu inakuwa imekaa katika kibao imefungiwa iko ndani ya mbqo inaonekana katika glass.
Watu wanaipenda nchi yao.
La sita Kwa ubovu ila Kwa ubora ni la 106Naamini kati ya majeshi 6 bora duniani ambapo jeshi letu (JWTZ) ni la 6, naamini kwenye ma 5 yajuu jeshi la Marekani litakuwepo. Sasa kwanini raia wa Marekani wanavaa nguo zinazofanana na jeshi na hawachukuliwi hatua?
Ushoga hata Tanzania unaruhusiwa ndiyomaana serikali imeruhusu NGO za mashoga kama vile LGBT Voice kufanya kazi na viongozi wake wanafahamika ila hawaguswi.umesahau kuhusu ushoga pia
Kwa hiyo kila lifanywalo ni USA ni jambo jema!!Naamini kati ya majeshi 6 bora duniani ambapo jeshi letu (JWTZ) ni la 6, naamini kwenye ma 5 yajuu jeshi la Marekani litakuwepo. Sasa kwanini raia wa Marekani wanavaa nguo zinazofanana na jeshi na hawachukuliwi hatua?
Wanashindwaje kudhibiti hili jambo? Au wao hawapo kwenye orodha ya majeshi bora duniani?
Pili, kwanini Wamarekani wanaruhusiwa kuweka bendera ya taifa hata geto? Sisi tunahofia nini au wamarekani haimo kwenye orodha ya nchi zenye raia wazalendo?
Mtu kama weweNa mwanajeshi ni nani hasa?
Tuko pale tumekaa juu juu kabisa ya list.Jeshi letu ni la ngapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
La 6 kutoka mwishoJeshi letu ni la ngapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na hatujui tufanyeje ili hofu ituishe maana tumeirithi na tunazidi kurithishana hofu hofu.
Afafanue nini wakati aliesema mpaka sasa hajakanusha wala kusema kakosea bali jeshi Zima limekaa kimya maana yake ni la Sita na hao watano hatusemijeshi letu duniani ni la 6 embu fafanua ndugu…
Unajua nchi hii ya ajabu sana! Ya sita kwa lipi? Wanatechnoloja gani wanayodevelop jeshini?Jeshi lenye ndege vita za Kirusi za miaka ya 70 eti ni jeshi la 6 kwa ubora,haya maajabu
Biashara ya kutengeneza na kuuza bendera itakuwa kubwa sana.Wamarekani na bendera yao huwaambii kitu.
Nilikuwa nafanya mazoezi ya kukimbia jioni hapa mtaani, kila sehemu bendera, kuna jamaa mmoja ni Irish-American, mbwle kaweka bendera ya Marekani, nyuma ya Ireland.
Nimeingia barabara kubwa nikavuka ki daraja cha overpass, nikakuta kuna mtu kaweka kibendera cha Marekani.
NIkasema hii nchi hata ukidondoka ghafla huchelewi kujua hapa Marekani.
Bendera kika sehemu.
Hapo bado kwenye nguo, kofia, mpqka ukiingia nyumbani watu wanaweka bendera ndani, wengine mpaka mashuka na mito bendera ya Marekani.
Wengine utakuta hawaipeperushi wameifunga pembetatu inakuwa imekaa katika kibao imefungiwa iko ndani ya mbqo inaonekana katika glass.
Watu wanaipenda nchi yao.
Sisi Bendera zetu za taifa zinapeperuka kwenye Mioyo yetuWamarekani na bendera yao huwaambii kitu.
Nilikuwa nafanya mazoezi ya kukimbia jioni hapa mtaani, kila sehemu bendera, kuna jamaa mmoja ni Irish-American, mbwle kaweka bendera ya Marekani, nyuma ya Ireland.
Nimeingia barabara kubwa nikavuka ki daraja cha overpass, nikakuta kuna mtu kaweka kibendera cha Marekani.
NIkasema hii nchi hata ukidondoka ghafla huchelewi kujua hapa Marekani.
Bendera kika sehemu.
Hapo bado kwenye nguo, kofia, mpqka ukiingia nyumbani watu wanaweka bendera ndani, wengine mpaka mashuka na mito bendera ya Marekani.
Wengine utakuta hawaipeperushi wameifunga pembetatu inakuwa imekaa katika kibao imefungiwa iko ndani ya mbqo inaonekana katika glass.
Watu wanaipenda nchi yao.