Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
ππTrump again...πππ
Akina nani hao?Sio marekani, ni wale watu 270 ndo wanateua raisi majority vote wala hazihesabiki! Hakuna uchaguzi maigizo kama wa marekani!
Inavyoonekana hata hauna uelewa mzuri kuhusu hizo electoral college votes. Hao hawateui tafuta vyanzo vya habari usome na kuelewa.Sio marekani, ni wale watu 270 ndo wanateua raisi majority vote wala hazihesabiki! Hakuna uchaguzi maigizo kama wa marekani!
Una idea kidogo sana,Jana vox wamechambua kwa undani kwa lugha rahisi jifuze kidogo hapa.Sio marekani, ni wale watu 270 ndo wanateua raisi majority vote wala hazihesabiki! Hakuna uchaguzi maigizo kama wa marekani!
Unanisikitikia kwa lipi sasa.Daah nakusikitikia sana Ndugu yangu
Chandimu wamenunaaaaaa! Waende wakachome matairi! Trump NNE tenaTrump kama Magufuli tu, ngwe ya pili is loading.
Sasa huelewi nini?Una idea kidogo sana,Jana vox wamechambua kwa undani kwa lugha rahisi jifuze kidogo hapa.
Jisemee nafsi yako wewe pamoja na wazazi wako na ukoo wako.Huo uchaguzi hatujasikia watu wametekwa, kujeruhiwa wala kuuwawa wala kwamba zimepatikana kura feki.
Waafrika tulilaaniwa na tunajifanya kuigiza kufanya uchaguzi kimakosa kabisa wakati hatujui hata nini maana ya uchaguzi.
Marehemu Pieta Bother aliwahi kusema mwafrika hakuumbwa kutawala ila kutawaliwa tu. Today we're witnesses to what Bother said well over 40 years ago.
Marekani kuna vyama vingi vya siasa mbali na Democrat na Republicans.Kwa hiyo Marekani kuna vyama viwili tu vya siasa?
Nasikia nao Uchaguzi wao umekuwa sio wa haki.Trump kama Magufuli tu, ngwe ya pili is loading.
Ni 570Sio marekani, ni wale watu 270 ndo wanateua raisi majority vote wala hazihesabiki! Hakuna uchaguzi maigizo kama wa marekani!
Wewe ni mpumbavuSio marekani, ni wale watu 270 ndo wanateua raisi majority vote wala hazihesabiki! Hakuna uchaguzi maigizo kama wa marekani!
Ni sawa na ilivyo Zanzibar.Marekani kuna vyama vingi vya siasa mbali na Democrat na Republicans.
Uchaguzi wa marekani mwaka 2020 una wagombea zaidi ya kumi toka vyama tofauti na hivyo viwili lakini pia marekani inaruhusu mgombea binafsi.
Hawa baadhi wagombea wa USA mwaka huu ukitoa Trump na Biden.
Kuhitimisha kuna wgombea 21 kwenye nafasi ya uraisi wa marekani, lakini sio majimbo yote hao wagombea watatokea kwenye ballots. Majimbo yatakayokuwa na wagombea wote ni Vermont na Colorado. Pitia hii linki Presidential candidates, 2020 - Ballotpedia kuelewa jinsi uchaguzi wa US unavyofanyika na pia kuwafahamu wagombea wengine.
- Howie Hawkins wa chama cha Green Socialist
- Jo Jorgensen wa chama cha Libertarian
- Don Blankenship wa chama cha Constitution
- Brian T. Carroll wa chama cha American Solidarity.
- Roque De La Fuente wa chama cha American Delta Party
Tunawajuwa Trump na Biden kwa sababu wanatoka kwenye vyama vikubwa na vikongwe nchini Marekani ila vyama vya siasa vipo vingi.