Raia wa nchi 130 wataingia Kenya bila kuwekwa karantini, Tanzania haimo

Raia wa nchi 130 wataingia Kenya bila kuwekwa karantini, Tanzania haimo

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Kenya imetoa nchi 130 ambazo raia wake wataruhusiwa kuingia nchini humo bila masharti ya raia hao kukaa karantini.

Katika orodha ya nchi hizo Tanzania haimo. Hii ikiwa na maana kwamba raia wa Tanzania atakayeingia Kenya atalazimika kukaa karantini.

Baadhi ya raia wa nchi wanaoruhusiwa kuingia Kenya bila masharti ya kukaa karantini ni India ambayo ni ya tatu kwa wingi wa maambukizi ya #COVID19 na Urusi ambaye ni ya nne kwa maambukizi.

====

1597865142406.png

1597865160389.png
 
Hili bifu kila siku linachukua sura mpya.

Wakenya wengi maombi yao ya kufanya kazi Tz.

yamekuwa Rejected.

Muda utasema!
LAZIMA TUTAHESHIMIANA TU, KAMA NI KORONA, SI KILA MTU ALICHUKUA UAMUZI WAKE? AU BONGO KUINGIA UCHUMI WA KATI? LABDA WAMUULIZE MSEMAJI WAO ALIYEPO TANZANIA, SI ANAGOMBEA URAISI.
 
Wenyewe mlijichokea kwenye vita dhidi ya corona na kuachia raia wenu wahangaike wenyewe na kuifanya corona iwe kama ugonjwa wa aibu kwenu kwamba mtu akiumwa corona analazimika kuficha na kutesekea kwa ndani, halafu mnataka mlazimishe kuingia nchi za watu. Nilipenda sana alichofanya Museveni, kawawekea jeshi kabisa mpakani, huo ndio uongozi uliodhamiria kulinda watu wake.
 
Back
Top Bottom