Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenyewe mlijichokea kwenye vita dhidi ya corona na kuachia raia wenu wahangaike wenyewe na kuifanya corona iwe kama ugonjwa wa aibu kwenu kwamba mtu akiumwa corona analazimika kuficha na kutesekea kwa ndani, halafu mnataka mlazimishe kuingia nchi za watu. Nilipenda sana alichofanya Museveni, kawawekea jeshi kabisa mpakani, huo ndio uongozi uliodhamiria kulinda watu wake.
Kwa mpumbavu pekee ndiye atakayesikia maneno yako kuwa kenya inalinda watu wake. Lakini wakenya wa kweli wanakuambia viongozi wenu wanatumia hiyo kama sehemu ya kupata pesa na sehemu ya kufanya ufisad
yah, na kile tunafanya ni kuunga mkono harakati zenu.Huku lazima mpimwe maana hatutaruhusu kuwatia Wakenya kwenye hatari kisa mindege, maisha yetu ni muhimu.
Na sio sisi tu, lazima mpimwe na majirani zenu wote maana mlishajichokea kwa umaskini.
We potezea huo uwizi wa hela sababu ni wa kwenu, wakenya wenzako wanateseka.Huku lazima mpimwe maana hatutaruhusu kuwatia Wakenya kwenye hatari kisa mindege, maisha yetu ni muhimu.
Na sio sisi tu, lazima mpimwe na majirani zenu wote maana mlishajichokea kwa umaskini.
yah, na kile tunafanya ni kuunga mkono harakati zenu.
tunaangalia na njia nyingine zaidi ambazo zinaweza waweka kwenye riski ya maambukizi zaidi nazo tunafunga, soon tutaangalia kwenye magari huko road[emoji41][emoji41][emoji41].
Chuki au roho ya kwanini ni mbaya sanaYani mtu anakubali corona haina athari sana afrika(japokuwa hakuna maelezo yeyote ya kitaalamu yenye kueleza ni kwanini) ila mtu huyohuyo anakataa kukubali kuwa Tz hakuna corona.
Tuliwaambia acheni kuishi kwa kutegemea ufisadi sasa mnatapatapa bila ya faidaMimi ni mtanzania hakika; ila ni msema kweli, siyo nyie danganya danganya tu mkifuata mawazo ya huyo kiongozi anayetupeleka gizani!
Wenye akili na matajiri huwa hawaibiwi na viongozi wao bwana[emoji23][emoji23][emoji23]The only hoe handle you hold is your illiteracy ,ignorance and poverty.