Raia wa Rwanda ambao hawajachanjwa hawataruhusiwa maeneo ya umma - Waziri Mkuu

Raia wa Rwanda ambao hawajachanjwa hawataruhusiwa maeneo ya umma - Waziri Mkuu

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Baadhi ya watu wamekimbia nchi ili kuepuka chanjo ya corona

Baadhi ya watu wamekimbia nchi ili kuepuka chanjo ya coronaImage caption: Baadhi ya watu wamekimbia nchi ili kuepuka chanjo ya corona

Raia wa Rwanda na wakazi lazima wawe wamepewa chanjo kamili dhidi ya Covid ili kuruhusiwa kufika maeneo ya umma, taarifa iliyotolewa na Waziri Mkuu inasema. Amri ya kutotoka nje usiku itaanza saa sita usiku, na vilabu vya usiku na matamasha ya muziki yamepangwa kufunguliwa tena.

Takriban watu milioni saba kati ya milioni 13 wamechanjwa kikamilifu nchini Rwanda, wakati zaidi ya watu milioni nane wamepata chanjo ya kwanza.

Rwanda ni mojawapo nchi za Afrika zilizo na viwango vya juu vya watu waliochanjwa ikilinganishwa na idadi ya watu wake, na ya kwanza katika Afrika Mashariki.

Lakini uamuzi wa Jumatano usiku unamaanisha kuwa mamilioni ya watu bado wanahitaji kupata chanjoya pili ili kufikia maeneo ya umma.

Ingawa chanjo ni ya hiari, kumekuwa na ripoti za watu kupewa chanjo kwa lazima, na wengine wamekimbilia nchi jirani za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Burundi ili kuepuka chanjo.

Msemaji wa serikali alikiri kwa shirika la utangazaji la Ufaransa, RFI, kwamba baadhi ya mamlaka "zinaweza kuwa na bidii sana" katika kampeni zao lakini haikuwa sera ya serikali.

BBC swahili

1643288513769.gif
 
Mguu pandeee, nyuma geukaaaaa.Legeza mwili.


logo


logo
×











EUROPE, LATEST ON CORONAVIRUS OUTBREAK

Austria becomes 1st EU country to make COVID-19 vaccine mandatory​

Approved in parliament, vaccine mandate starts from February; people refusing to get shot face fines up to $4,000​

Aşkın Kıyağan |21.01.2022

Austria becomes 1st EU country to make COVID-19 vaccine mandatory


VIENNA
Austria has become the first EU country to make vaccination against COVID-19 mandatory after the parliament approved the mandate on Thursday.
Majority of the Austrian parliament voted in favor of the bill despite opposition from the far-right Freedom Party.
The mandate "paves the way to totalitarianism in Austria," Freedom Party leader Herbert Kickl said.
Government speakers criticized Kickl's statements, accusing him of "dividing the society".

Mandatory vaccination starts from February
Compulsory vaccination against COVID-19 in the Alpine state will start from February.
Population aged under 18, pregnant women and those with medical conditions will be exempt from the mandate.
In the first phase, relevant ministries will inform people about the obligatory vaccination until March 15.
From March 16, police will start checking people's vaccination status during routine controls.
Those who refuse to get the COVID-19 vaccine shot will face fines between €600-€3600 ($680-$4,000).
Some 72% of the Austrian population have been fully vaccinated so far.
The country of 9 million has recorded over 1.5 million coronavirus cases since the first case was reported in March 2020. Nearly 14,000 people have died due to the coronavirus.
21jan.jpg

* Writing by Iclal Turan in Istanbul
Anadolu Agency website contains only a portion of the news stories offered to subscribers in the AA News Broadcasting System (HAS), and in summarized form. Please contact us for subscription options.

Related topics​

Austria mandatory vaccination Vienna

Bu haberi paylaşın​

bip.png

Analysis

Coronavirus

Russia sees record daily COVID cases for 9th day in a row​



Germany records over 200,000 daily COVID-19 cases for 1st time​



Anadolu Agency's Morning Briefing – Jan. 27, 2022​



Americas report record COVID infections: PAHO​



Turkiye reports over 77,400 daily coronavirus cases​






Related news​


Iran says still open to direct talks with US over nuclear deal

Iran says still open to direct talks with US over nuclear deal


Iran rules out 'interim agreement' in Vienna nuclear talks​



Austria becomes 1st EU country to make COVID-19 vaccine mandatory​


Ukraine satisfied with outcome of OSCE meeting in Vienna

Ukraine satisfied with outcome of OSCE meeting in Vienna​


Anadolu Agency
facebook logotwitter logoyoutube logoinstagram logo

Corporate​

History
Editorial Guidelines
Social Media Policies
Executive Team
Domestic Offices
International Offices
Media Center
Contact

RSS
Human Resources
Subscription Requests
Announcement Service
Quality Management
Privacy and Cookies Policy
Information Policy
Diary

Network​

Company News
Finance Terminal
Anadolu Images
Energy Terminal
News Academy

Your source of trusted news​

IPhone Application
IPad Application
Android Application
googleplay logo applestore logo
Anadolu Agency © 2021
 
Wangeweka wazi kama sheria hiyo itawahusu wageni toka nje au lah
Yaani raia wao lazima achanjwe,halafu mgeni isiwe lazima,ndio awaletee hizo Corona kwao.?

Wakiruhusu wageni ambao hawajachanjwa kuingia nchini kwao then watakua Ni mataahira haswaa.
 
Yaani raia wao lazima achanjwe,halafu mgeni isiwe lazima,ndio awaletee hizo Corona kwao.?

Wakiruhusu wageni ambao hawajachanjwa kuingia nchini kwao then watakua Ni mataahira haswaa.

Inawezekana wakaruhusu lakini kwa masharti...

Nimeuliza hivyo kwa sababu huko Rwanda bila shaka kuna diplomats, sasa kwa sheria yao hiyo nahisi kutakuwa na exemption kwa baadhi ya watu
 
Back
Top Bottom