permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Tofautisha watu wanaoajiriwa kama wataalamu na wahamiaji haramu wanaomiliki hadi mashamba huku wakiwa wamejipenyeza kila mahali Serekalini.View attachment 3206914
Huyu Hapo kaajiriwa tena huko huko Rwanda mnakoloa mkipasikia tu.
Wabongo wameajiriwa hadi CIA ndo sembuse kwenye hivyo vinchi vya hovyo?
Trump kamchagua Patel mwenye asili ya India kuwa director of FBI.
Mtu kuwa na asili ya nchi fulani hakukufanyi wewe kuwa mhamiaji haramu au less of a citizen.
Unaweza taja mnyarwanda mmoja tu aliyeajairiwa TZ serikalini? CDF wenu hajataja hadi Leo.
Wabongo wengi hamjui sheria na hamna exposure zaidi ya story za vijiweni.
Tofautisha watu wanaoajiriwa kama wataalamu na wahamiaji haramu wanaomiliki hadi mashamba huku wakiwa wamejipenyeza kila mahali Serekalini.
Labda ikulu ya Mange na Museveni.Leo hii kijana na nyoka wa kikwete Lugumi ame fall in love na binti wa kinyarwanda ili hali jamaa ana mke tena ni binti wa bosi mstaafu wa polisi...
Vita ya kikwete na wanyarwanda haiwezi kumpa ushindi kikwete coz vijana wake wana tamaa kubwa ya ngono...
Lugumi kesha kwenda na maji...
Kwa taarifa yako wanyarwanda wapo hadi ikulu
Tafuta facts acha kuweweseka, nafahamu aina za uraia, hapa nazungumzia illegal immigrants ambao wametapakaa hadi Serikalini.Ilikua response kwa mtu aliyesema specifically wabongo hawapewi kazi Rwanda.
Mhamiaji haramu asiye na ID anapewa kazi serikalini? Does that make sense to you?
Ajira ambazo hata wabongo haziwatoshi ila all over sudden kwa illegal immigrants zipo?
Kama wanajipenyeza Hawa wabongo kabisa wasio na ajira nini kinawashinda? Huo sio unyonge?
Wamatumbi mna habari mtu akiwa naturalized ana haki zote kama mtanzania mwingine au mnadhani ataendelea kuwa mgeni milele?
Wewe na wengine wanaoamimi kuwa Rwanda ndio insyo destabilise amani ya Congo jifunzeni historia ya Congo. Congo haitatulia hata kama hiyo Rwanda ikifutika kwenye ramani ya dunia. Vita yao ipo na itakuwepo mpaka pale itakapo baki jangwa au mahandaki. Mzungu ni konyo. Ivi unajua Congo imeizidi Rwanda vitu vingi kuanzia uchumi, population mpaka ukubwa wa nchi, ila angalia inavyowasumbua hao Congo.. udogo wa nchi si hoja mzee, kikubwa ni jeshi la nchi lina uwezo gan kijeshi kuanzia vifaa vya kisasa , idadi ya wanajeshi wenye mafunzo bora za kimedani including special forces na vile vile uwezo wa kukabiliana na hatari au kunusa hatari zinazoweza jitokeza(ujasusi)
Wewe unaita inferiority complex lakini mimi nadhani ni seriousness juu hao wanyaruanda hasa ukiangalia walivyomigrate kwenda Congo na wanachokifanya sasa ivi pale Kongo.. Walienda kama wakimbizi wakakaribishwa na wenyeji( native Congolese) ila wanachokifanya sasa ivi pale Kivu nadhani unakiona..
Ilifika hatua mpaka mkuu wa majeshi ya Congo alikua mnyaruanda, na baada ya kutimuliwa akarudi Rwanda akapewa tena cheo kikubwa jeshini na serikalini mpaka leo yupo Rwanda na ni kiongozi mkubwa tu..!!! Leo tukisema waangaliwe na wafatiliwe unaita unyonge mkuu..
Sio unyonge ila hao watu ni threat sehemu yoyote waliyopo kutokana na historia yao
Tafuta facts acha kuweweseka, nafahamu aina za uraia, hapa nazungumzia illegal immigrants ambao wametapakaa hadi Serikalini.
Wewe na wengine wanaoamimi kuwa Rwanda ndio insyo destabilise amani ya Congo jifunzeni historia ya Congo. Congo haitatulia hata kama hiyo Rwanda ikifutika kwenye ramani ya dunia. Vita yao ipo na itakuwepo mpaka pale itakapo baki jangwa au mahandaki. Mzungu ni konyo
Yaani wewe KarunguyeyeHakuna illegal immigrant serikalini kwenye serikali isiyo na ajira hata kwa raia wake. Tumia akili. What your saying doesn't make no sense. Ukiambiwa mtaje mrwanda mmoja tu serikalini utaishia kutoa ngonjera tu, CDF wenu mwaka wa tatu huu kashindwa kumfikisha hata mmoja kwenye vyombo vya sheria.
Chuki ni kukemea Uhamiaji haramu?Mkuu kama wewee unaweza tambua makabila ya watu humu hata wewe unaweza kuwa mhutu au mtusi, mrundi au anything else na hii inaonyesha chuki yako dhidi ya hayo makabila. Jf ni chaka chuki yako unaificha kwenye uraia haramu. Utakuwa ropo ropo kama kawaida kwa unavoshipaza fuvu huvu ungekuwa na uhalisia wa haya madai yako saa hii hao wanaokulaza na viatu saa hizi wangekuwa washavushwa border sijui ya wapi huko. stop kueneza chuki ndio maana sheria zipo mkuu.
Mkuu kama wewee unaweza tambua makabila ya watu humu hata wewe unaweza kuwa mhutu au mtusi, mrundi, mcongo au anything else na hii inaonyesha chuki yako dhidi ya hayo makabila. Jf ni chaka chuki yako unaificha kwenye uraia haramu. Utakuwa ropo ropo kama kawaida kwa jinsi unavoshupaza mishipa ya shingo humu ungekuwa na uhalisia wa haya madai yako saa hii hao wanaokulaza na viatu saa hizi wangekuwa washavushwa border sijui ya wapi huko. stop kueneza chuki ndio maana sheria zipo mkuu.Yaani wewe Karunguyeye
wUnamzidi CDF taarifa za kiiterejensia
Na kwanini tukikemea Uhamiaji haramu wewe mtusi unakasirika?
Una maslahi Gani huo Uhamiaji haramu
Una chuki mkuu na pia kichwa kizito I'm against illegal immigrantsChuki ni kukemea Uhamiaji haramu?
Me Sina chuki nataka taratibu za Uhamiaji zifuatwe
Hakuna Mtanzania ataenda Rwanda ajenge, alime, Aishi bila kutambuliwa na mamlaka
Sina chuki Nina uzalendoMkuu kama wewee unaweza tambua makabila ya watu humu hata wewe unaweza kuwa mhutu au mtusi, mrundi, mcongo au anything else na hii inaonyesha chuki yako dhidi ya hayo makabila. Jf ni chaka chuki yako unaificha kwenye uraia haramu. Utakuwa ropo ropo kama kawaida kwa jinsi unavoshupaza mishipa ya shingo humu ungekuwa na uhalisia wa haya madai yako saa hii hao wanaokulaza na viatu saa hizi wangekuwa washavushwa border sijui ya wapi huko. stop kueneza chuki ndio maana sheria zipo mkuu.
Una chuki mkuu na pia kichwa kizito I'm against illegal immigrants
Nyie na nani sasa huna lolote unajifariji kwa kubwatuka tuu humu. I wish you lucky 👍Sina chuki Nina uzalendo
Naweza kuamua kuwa kimya kama wewe lakini nitakemea hadi nyie wazamiaje mchukie