DOKEZO Raia wa Rwanda wanapenyaje hadi kujazana nchini?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Tofautisha watu wanaoajiriwa kama wataalamu na wahamiaji haramu wanaomiliki hadi mashamba huku wakiwa wamejipenyeza kila mahali Serekalini.
 
Tofautisha watu wanaoajiriwa kama wataalamu na wahamiaji haramu wanaomiliki hadi mashamba huku wakiwa wamejipenyeza kila mahali Serekalini.

Ilikua response kwa mtu aliyesema specifically wabongo hawapewi kazi Rwanda.

Mhamiaji haramu asiye na ID anapewa kazi serikalini? Does that make sense to you?

Ajira ambazo hata wabongo haziwatoshi ila all over sudden kwa illegal immigrants zipo?

Kama wanajipenyeza Hawa wabongo kabisa wasio na ajira nini kinawashinda? Huo sio unyonge?

Wamatumbi mna habari mtu akiwa naturalized ana haki zote kama mtanzania mwingine au mnadhani ataendelea kuwa mgeni milele?
 
Labda ikulu ya Mange na Museveni.
 
Tafuta facts acha kuweweseka, nafahamu aina za uraia, hapa nazungumzia illegal immigrants ambao wametapakaa hadi Serikalini.
 
Wewe na wengine wanaoamimi kuwa Rwanda ndio insyo destabilise amani ya Congo jifunzeni historia ya Congo. Congo haitatulia hata kama hiyo Rwanda ikifutika kwenye ramani ya dunia. Vita yao ipo na itakuwepo mpaka pale itakapo baki jangwa au mahandaki. Mzungu ni konyo
 
Tafuta facts acha kuweweseka, nafahamu aina za uraia, hapa nazungumzia illegal immigrants ambao wametapakaa hadi Serikalini.

Hakuna illegal immigrant serikalini kwenye serikali isiyo na ajira hata kwa raia wake. Tumia akili. What your saying doesn't make no sense. Ukiambiwa mtaje mrwanda mmoja tu serikalini utaishia kutoa ngonjera tu, CDF wenu mwaka wa tatu huu kashindwa kumfikisha hata mmoja kwenye vyombo vya sheria.
 

Watu wajinga hawajui Congo ina vita za ndani hata kabla ya uhuru wao wanajua imesababishwa na Rwanda tu.
 
Mitanganyika itasema hawa wachezaji ni spies na siku wakiwa viongozi huko TFF itasema ni wahamiaji haramu.

 
Yaani wewe Karunguyeye
Unamzidi CDF taarifa za kiiterejensia
Na kwanini tukikemea Uhamiaji haramu wewe mtusi unakasirika?
Una maslahi Gani huo Uhamiaji haramu
 
Chuki ni kukemea Uhamiaji haramu?
Me Sina chuki nataka taratibu za Uhamiaji zifuatwe
Hakuna Mtanzania ataenda Rwanda ajenge, alime, Aishi bila kutambuliwa na mamlaka
 
Yaani wewe Karunguyeye
wUnamzidi CDF taarifa za kiiterejensia
Na kwanini tukikemea Uhamiaji haramu wewe mtusi unakasirika?
Una maslahi Gani huo Uhamiaji haramu
Mkuu kama wewee unaweza tambua makabila ya watu humu hata wewe unaweza kuwa mhutu au mtusi, mrundi, mcongo au anything else na hii inaonyesha chuki yako dhidi ya hayo makabila. Jf ni chaka chuki yako unaificha kwenye uraia haramu. Utakuwa ropo ropo kama kawaida kwa jinsi unavoshupaza mishipa ya shingo humu ungekuwa na uhalisia wa haya madai yako saa hii hao wanaokulaza na viatu saa hizi wangekuwa washavushwa border sijui ya wapi huko. stop kueneza chuki ndio maana sheria zipo mkuu.
Chuki ni kukemea Uhamiaji haramu?
Me Sina chuki nataka taratibu za Uhamiaji zifuatwe
Hakuna Mtanzania ataenda Rwanda ajenge, alime, Aishi bila kutambuliwa na mamlaka
Una chuki mkuu na pia kichwa kizito I'm against illegal immigrants
 
Sina chuki Nina uzalendo
Naweza kuamua kuwa kimya kama wewe lakini nitakemea hadi nyie wazamiaje mchukie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…