Raila aki amua ame amua idiots zitazua but zitatii in the end

Raila aki amua ame amua idiots zitazua but zitatii in the end

Wapi???


Haujaskia mkuu wa IEBC akisema haoni kukiwa na huru na haki kwa uchaguzi???

Hata wakichaguliwa Korti nchini itawatoa bado tu mpaka uwe wa haki na huru!!!

Hata waende mara ngapi!!!!!

Na ikiendelea hvi kenya itajigawa tu!!!!!!!.....tutakuwa nchi mbili before 2022 if there is no free and Fair election that is a given!!!!

Tayari IEBC imesha pea korti kuu nchini kenya fursa ya kubandua uchaguzi ujao!!!!!!!



Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
Na pia hukuskia akisema uchaguzi utakuwepo 26th ama uliziba maskio
 
Sawa

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app

e61f8464026b4b16ebe7d45c5819cd99.jpg
 
Naijua siasa ya Kenya kuliko we unaejiona mtaalam. Zipporah aweza kuwa mkeo lakini tutaona siku iyo. Siku haigandi bali yayoyoma tuu 26th is Just, near the corner
Punguza nyege Zipporah, tuache sisi tulio na kura tumalize mchakato wenyewe. Kaa kando tizama hadi na mdomo, huu si ule mchezo wa watoto wa fisiemu na hapa kazi tu.
 
Back
Top Bottom