Sammuel999
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,481
- 2,347
Ametii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
One way or another siku ya kupiga kura itafika tu, hata iwe mwaka ujao. Kinachonifurahisha ni kuwa Raila Odinga hatakuja kalia kiti cha urais Kenya. Bwana asifiwe sana. Amen!Wameona There will be no elections next week ...mtatii hatutaki hyo kura idiots ....
One way or another siku ya kupiga kura itafika tu, hata iwe mwaka ujao. Kinachonifurahisha ni kuwa Raila Odinga hatakuja kalia kiti cha urais Kenya. Bwana asifiwe sana. Amen!
Kama huelewi siasa za Kenya usijiabishe bure, pambana na hizo siasa za peni mbili za tz, sawa Zipporah?Kwani we idiot ndo unagawa hiyo kiti ya urais? Ngoja kwanza hiyo kura ipigwe na Raila akuje ingia kwa race
Political strategy my friend usiyejua siasa za Kenya. Hakuna muda wa mabadiliko ambayo NASA wa nataka yatekelezwe(irreducible minimums) uchaguzi ukiwa tarehe 26 wiki ijayo.Wakuu:
Hivi kumetokea nini mpaka DP Ruto akubali dakika za mwisho kirahisi namna hiyo?.
Hii ni kweli ama fake? DP Ruto yamempata yapi?
Political strategy my friend usiyejua siasa za Kenya. Hakuna muda wa mabadiliko ambayo NASA wa nataka yatekelezwe(irreducible minimums) uchaguzi ukiwa tarehe 26 wiki ijayo.
Raila has only withdrawn through the word of mouth without due process as required by law.Comrade:
Yes it's a political strategy but will it work at this dead hour, while RAO has already withdrawn?
Hizo ni dalili za kuhangaika ili kuokoa jahazi lisizame.
Yes ....na Kenya sio nchi yangu!!!!!!!!One way or another siku ya kupiga kura itafika tu, hata iwe mwaka ujao. Kinachonifurahisha ni kuwa Raila Odinga hatakuja kalia kiti cha urais Kenya. Bwana asifiwe sana. Amen!
Wameona There will be no elections next week ...mtatii hatutaki hyo kura idiots ....
Wapi???uchaguzi uko palepale, uhuruto tano tena
Wapi???
Haujaskia mkuu wa IEBC akisema haoni kukiwa na huru na haki kwa uchaguzi???
Hata wakichaguliwa Korti nchini itawatoa bado tu mpaka uwe wa haki na huru!!!
Hata waende mara ngapi!!!!!
Na ikiendelea hvi kenya itajigawa tu!!!!!!!.....tutakuwa nchi mbili before 2022 if there is no free and Fair election that is a given!!!!
Tayari IEBC imesha pea korti kuu nchini kenya fursa ya kubandua uchaguzi ujao!!!!!!!
Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
Kama huelewi siasa za Kenya usijiabishe bure, pambana na hizo siasa za peni mbili za tz, sawa Zipporah?
Sawakorti imtoe rais?! endeleeni kudanganyana na huyo raila wako, hata hiyo mara ya kwanza korti walitengua matokeo ya augost 8 tu lakini ikulu bado wako uhuruto, na hata wakitengua tena watakavyo lakin Uhuruto bado wako kwa kiti huku raila akiendelea kusugua benchi mtaani. UHURUTO TANO TENA.