Wakuu,
Sasa anaemsukuma huyu Odinga kufanya vurugu zote hizo ni Uhuru kenyatta na ndio mfadhili mkuu wa hiyo migogoro.
Kwanza lengo kubwa baadae serikali ya Ruto itumie nguvu ili hata asipotoka japo ndio lengo, mauaji yatakayosababishwa na polisi wapate upenyo wa kwenda Mahakama ya Makosa ya Kijinai ili Ruto asichomoke.
Raila kashauri Wakenya wagomee:
1. SAFARICOM
2. KCB
3. Star Newspaper
Kwenye hayo Wakenya wanayotakiwa kugomea huko Ruto na Gachagua wanamiliki hisa za kutosha. Kamwe hutosikia Raila anataja biashara za Kenyatta family kama;
1. CBA Bank
2. Brookside maziwa na bidhaa zake
3. Kameme FM
4. K24 TV
Hizo ni baadhi ya biashara za Kenyatta ukiacha mahoteli ya kitalii huko Mombasa, Lamu na Naivasha, wala shule ya hadhi ya watu wa juu Kenya peponi school wanakosoma matajiri, wala hutosikia kagusa kampuni za tours za Kenyatta, wala hatogusa majumba na maghorofa ya biashara ya Kenyatta family yeye lengo kila Ruto alipo na hisa wahakikishe biashara inakufa.
Msukumo wa hayo yote ni kuguswa kwa biashara za gesi zake Raila na Uhuru moja kwa moja kwa kuruhusu watu kama Taifa Gas kuingia Kenya hao macartels hawakupenda kabisa.
Hayo maandamano ya kila Jumatatu na Alhamisi ambayo hayana kikomo ni kuvuruga amani ya Kenya na biashara kwa ujumla, wale wanaoandamana wanaamini wanapiganiwa maskini kumbe watu wanapigania maslahi yao binafsi tu.
Hakuna mwanasiasa aliempigania maskini hiyo kwa Afrika hii sahau.
Sasa anaemsukuma huyu Odinga kufanya vurugu zote hizo ni Uhuru kenyatta na ndio mfadhili mkuu wa hiyo migogoro.
Kwanza lengo kubwa baadae serikali ya Ruto itumie nguvu ili hata asipotoka japo ndio lengo, mauaji yatakayosababishwa na polisi wapate upenyo wa kwenda Mahakama ya Makosa ya Kijinai ili Ruto asichomoke.
Raila kashauri Wakenya wagomee:
1. SAFARICOM
2. KCB
3. Star Newspaper
Kwenye hayo Wakenya wanayotakiwa kugomea huko Ruto na Gachagua wanamiliki hisa za kutosha. Kamwe hutosikia Raila anataja biashara za Kenyatta family kama;
1. CBA Bank
2. Brookside maziwa na bidhaa zake
3. Kameme FM
4. K24 TV
Hizo ni baadhi ya biashara za Kenyatta ukiacha mahoteli ya kitalii huko Mombasa, Lamu na Naivasha, wala shule ya hadhi ya watu wa juu Kenya peponi school wanakosoma matajiri, wala hutosikia kagusa kampuni za tours za Kenyatta, wala hatogusa majumba na maghorofa ya biashara ya Kenyatta family yeye lengo kila Ruto alipo na hisa wahakikishe biashara inakufa.
Msukumo wa hayo yote ni kuguswa kwa biashara za gesi zake Raila na Uhuru moja kwa moja kwa kuruhusu watu kama Taifa Gas kuingia Kenya hao macartels hawakupenda kabisa.
Hayo maandamano ya kila Jumatatu na Alhamisi ambayo hayana kikomo ni kuvuruga amani ya Kenya na biashara kwa ujumla, wale wanaoandamana wanaamini wanapiganiwa maskini kumbe watu wanapigania maslahi yao binafsi tu.
Hakuna mwanasiasa aliempigania maskini hiyo kwa Afrika hii sahau.