Odinga Kila analosema wanatii, hata aliwambia kesho msipige mswaki asee jamaa wanatii the same Makenzie aliwambia hakuna kula mpaka mfe na kweli wakatii na wakafa kweli, hahaaa nimehitimisha Wakenya wanaendeshwa na akili za wengine, wanapenda kuiga mambo ya wengine, Lugha na tamaduni za wengine,
Chakula wanachokula kimelimwa na wengine, na hapo walipo wanataka mtu mwingine awaletee unga majumbani kwenye masufuria Yao badala ya kupiga kazi.
Swali langu ni lini wakenya mtatumia akili zenu wenyewe mkaacha kutumia akili za kushikiwa? Wake up guys and think.
Chakula wanachokula kimelimwa na wengine, na hapo walipo wanataka mtu mwingine awaletee unga majumbani kwenye masufuria Yao badala ya kupiga kazi.
Swali langu ni lini wakenya mtatumia akili zenu wenyewe mkaacha kutumia akili za kushikiwa? Wake up guys and think.