Raila Odinga akataa matokeo na ameahidi kufikisha malalamiko Mahakama Kuu.

Raila Odinga akataa matokeo na ameahidi kufikisha malalamiko Mahakama Kuu.

A sad story for real! It takes someone with high intelligence to understand RAO's point on his grievances! Just on common senses, to those UK fanatics/followers should try to explain to us why is the whole World quiet on congratulating UK's win? Why are the international observers refusing to acknowledge the tallying were credible?
 
Hii ndiyo laana ya Afrika. Hatuheshim matakwa ya raia wala misingi ya utawala tunaojiwekea. Ilikuwaje System mpya, iliyogharim mabillion, ikafa ghafla? Kibaki ndiye mwenye vyombo vya dola,mtu aliye na uchu madaraka wa kupindukia , aliyeapishwa usiku, hawezi kushindwa kutumia machinery kuchakachua matokeo.

Wazungu ndio maana wanatudharau sana. Siku zote wanatuchukulia kama watu wenye taahila ya akili na mtindio wa ubongo. Afrika pamoja na kuwa na watu zaidi ya milioni 600 lakini haina nguvu UN, haina VETO UN wala haiaminiki. ipo ipo tu na biashara hii ya kuchakachua matokeo, kukuza umasikini na kutukuza upumbavu. hakuna maendeleo ya teknolojia, elimu inazidi kushuka chini. Kwasababu ya watu wake kukata tamaa wana-resort kwenye ngono. Hivyo afrika linabakia kuwa bara lililo duni sana lakini lenye kipaji cha ngono.

kwa biashara hii ya ukabila na uchakachuaji, kenya haiwezi kuwa na heshima hata kidogo na wala haiwezi kuaminika. Hii zana ya East Africa community itakufa tu. Kama Mkikuyu hawezi kuwaheshimu wakenya wengine awezaje kuwaheshim waganda na watanzania?


Kibaki aliapishwa jioni...
Hakuna dhambi kubwa JF kama dha,bi ya kukurupuka.
 
110120135217_odinga_kenya_304x171_afp.jpg

Waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga

Muungano wa CORD wake Raila Odinga umeelezea kuwa unajianda kwenda mahakamani kupinga matokeo ya urais yaliyompa ushindi Uhuru Kenyatta

Raila Odinga, ameambia waandishi wa habari kuwa kuwa matokeo yaliyotolewa na tume hiyo yalikuwa yamehujumiwa hasa baada ya kutokea hitilafu katika mitambo ya elektroniki iliyokuwa inatumiwa katika shughuli hiyo.


Raila amedokeza kuwa muungano wao unajiandaa kwenda mahakamani kupinga matokeo hayo.
Aidha alisema kugoma kwa mitambo hiyo kulichanganya mambo katika shughuli ya kuhesabu kura. Alisema kuwa baada ya kutokea hitilafu, kura alizokuwa amepata katika maeneo bunge ambayo ni ngome zake , ziliongezwa kwa hesabu ya kura za muungano pinzani wa Jubilee.

Mapema wiki hii, wakati shughuli ya kuhesabu kura za urais ilikuwa inafanyika, CORD walielezea malalamishi kuhusu shughuli nzima hasa baada ya kura kuanza kuhesabiwa kwa mikono badala ya mashine.


Lakini mahakama kuu ilitupilia mbali kesi yao ikisema kuwa haina uwezo wa kufanya uamuzi katika kesi hiyo, na kuwa ni mahakama ya juu zaidi pakee inayoweza kusikiliza kesi hiyo. chanzo.
http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2013/03/130309_cord_matokeo.shtml
 
GezaUlole I think the likes of Zuma,Kagame,Jonathan,Museveni and your very own Jakaya have done that already!
ELOG wamekubaliana na matokeo ya IEBC na kusema yanapelekana sawasawa na yao...And for your info;sio kazi ya observers kuwapongeza washindi!

Si kwamba twamchukia Odinga,yeye na wenzake Wangari Maathai,Koigi Wamwere,Kenneth Matiba and many others walipigania democracy,hili litabaki kama sio nyoyoni zetu katika vitabu za historia!
 
Geza and team of doomsayers were expecting bloodshed, but miraculously it did not happen which leaves them scratching their heads until now
 
lakini si hata cnn walisema kenya wamejiaandaa kwa vita halafu wakaomba msamaha hata hili naona ni porojo tu za bbc kumjaza ujinga raila..

Oooo,,CNN iliomba msamaha baada ya machchezi yao kuto faulu.

Ni kweli ati Raila alisema ati atawasilisha kesi kotini lakini hi
ina julikana kama safe landing.

Huyu bwana alijulikana kama simba wa ma simba wote
Kenya,,kama si Afrika.

Aliwahi kujipiga kifua na kusema kwamba hajawahi
kushindwa na kwahivyo,,,kushindwa haikua katika
kamusi yake.

Hivi ndivyo wengi katika ngome yake walivyo
amini.

Hata vile huyu makamu wa Rais,,,bwana Kalonzo
Musyoka,,,alipoona yakwamba kisisiasa ,,,,alikua
akizama,,alionelea ajishikilie kwa huyu simba
wa masimba na kuchukua kabila lake lote
la wa Kamba.

Hakuna yeyote aliekua ametarajia huyu
simba wa ma simba,,,kuinua mikono na kusema ameshindwa
.

Kwani angelipitia wapi,,,baada ya hayo,,????hewani??? sababu
wafuasi wake wangelikasirika sana kwa kuwapotosha na,,, hasira
zao wange muelekezea,,kwake.

Kwahivyo,,kortini ni safe landing na karata
ambayo aliyo kua amebakisha.

International na local observers,,,,kauli
yao,,,uchanguzi ulikua,,,one of the
best ever in the Kenyan recent history.

Kila mtu amemtoroka na kisiasa ni kuzama
ana zama kwa kasi sana,,pamoja na huyu
vice president,,,kwani,,hata yeye,,ule
msemo,,ati atapitia kati kati,,,,umeisha.

Good bye Stevo,,,the VP.

Sasa,,ni hatamu ya wazee Kenya ku,,retire.

Kibaki huyooooo,,,tumeanza kuona mikokoteni
ikibeba vitu kuto state,,,Nairobi.

Raila huyoooooo,,,,forced retirement.

VP Kalonzo huyo,,,ana zama pamoja
na huyu aliekua,,,the black moses,,
mr Agwambo,,mzee wetu Raila ambaye
bado tunampenda kama atajaribu
kuto tatanisha wakenya.

Amefanya mengi kwa Kenya lakini makosa
yake ni kujenga ukuta na kidogo ku uboromoa.

Kwa Mzee wetu Raila Agwambo Odinga.

"Mzee unaheshimika na wengi lakini uwe makini
kwani sasa ni rahisi sana hiyo heshima wengi
walio kupa,,,,kutoweka hata wewe kujua.

Salimu amri na mwende na Kibaki mkae
chini ya mti na muwe wazee wa kuheshimika
na kua advisers ya wadogo wenu"
 
mkuu tofauti ya kura ni kubwa sana kweli....ila je? hiyo tofauti ni ya haki au ndio yale mambo yetu na kina mzee wa ndovu yamepita hapo??
Ndio maana nasema kama ushahidi upo kuna umuhimu wa raila kudai haki na demokrasia ya kweli ila kama haipo akubali

ni kubwa kwa sababu 1% ilikuwa inaenda na kura lak1 na kura lak1 n kama vituo 2 vikubwa so lak8 na ushee n vituo kama 17 so how much jamaa kaiba kila kituo? thats 1. second jamaa zake wa vituon wameshasain zile form kukubaliana na matokeo vituon so?
#kumbuka alishasema kabla ya uchaguz ya kwamba kuna mpango wa kumwibia, alipobanwa akasema hana uhakika
#mara bada ya uchaguz gap ilipohit lak5 akasema computer inadanganya. mara machine zikafa so who hacked them?
#kuhesab manual gap ilipo hit lak3 kalonzo anasema manual systen sio ya kikatiba
#chief agent wake alishakubali manual system
iv huon n story ya mfa maji au tim iliyofungwa then wanasingizia uwanja ulikuwa na tope kamakwamba hao wengine walikuwa wanachezea mbinguni . he has lost atulie kama ananyolewa
 
It is rather a question of whether or not there will be sufficient corroborative sources of evidence. A 0.08% votes percentage can easily be proven incorrect. It is up to Odinga and his team to prove to the judiciary that there indeed was malpractice.

so ndio atapewa ushindi? uwongo mtupu.
 
Sihitaji kwenda Kenya kujifunza chochote kwa maana walichonacho ni copy paste ya mfumo unaotumiwa na nchi nyingi Duniani!

Ninachoongelea mimi sio u-haki wake wa Kikatiba kwenda Mahakamni, ninachoongelea ni kwamba ni jambo la kushangaza kwenda Mahamakani kulalamikia mfumo ambao wewe ndio kiongozi wake, hayo yote anayoyalalamikia yeye ndio alipaswa ahakikishe hayatokei, maana ya Tume huru sio kwamba wako juu ya Sheria za nchi, ni lazima waachwe wafanye kazi zao kwa Uhuru ndio, sasa ni nani anayesimamia hayo? Tume haina Jeshi wala Polisi au usalama wa Taifa, na ndio kazi ya Serikali!

Narudia sijasema hana haki ya kikatiba kwenda Mahakamani, kila mtu ana hiyo haki, ila ni jambo tu ajabu kwa Mkuu wa Serikali kwenda kulalamika mambo ambayo yeye ndio alipaswa kuhakikisha hata kabla ya uchaguzi hayatokei, ni hilo tu, na hayo ni maoni wala Sio hukumu, hivyo usiwe na jazba!


Kijakazi,usibwabwaje Raila amejieleza vizuri tu,na akatoa mpaka na mifano sasa wewe kusema kwamba alipaswa kuhakikisha kwenye uchaguzi hayatokei hayo,ulitaka afanye,wakati tume wanakwambia mitambo imefeli,ulitaka Raila aite mafundi,au kwani yeye ndiye aliyenunua hiyo mitambo???Tume ilitaka kuwezeshwa ikapewa kila kitu imewepo vifaa vya kisasa kabisa,wakaacha vya kisasa walirudia vya kienyeji ili waweze kuchachua kama CCM wanayo fanya.....RAILA kwenda mahakani ni haki yake kama katiba ya Kenya inavyo sema...Go Raila... go....
 
Fursa bado zipo nyingi sana ndani na nje ya Kenya kwa Mh.RAILA ODINGA.

Cha msingi kwake ni kuutafakari upya ushindi wa Mh.UHURU KENYATA na

kumpongeza kwani haukuwa ushindi wake bali ni wa Kenya yote kwa kuwa

umeionesha dunia jinsi gani wakenya walivyo wamoja ukiachilia

mbali tofauti zao zote.
 
Kijakazi,usibwabwaje Raila amejieleza vizuri tu,na akatoa mpaka na mifano sasa wewe kusema kwamba alipaswa kuhakikisha kwenye uchaguzi hayatokei hayo,ulitaka afanye,wakati tume wanakwambia mitambo imefeli,ulitaka Raila aite mafundi,au kwani yeye ndiye aliyenunua hiyo mitambo???Tume ilitaka kuwezeshwa ikapewa kila kitu imewepo vifaa vya kisasa kabisa,wakaacha vya kisasa walirudia vya kienyeji ili waweze kuchachua kama CCM wanayo fanya.....RAILA kwenda mahakani ni haki yake kama katiba ya Kenya inavyo sema...Go Raila... go....

Hata wewe wale wale tu unaendeleza jazba pasipo hata na sababu, angalia tu usijinyonge siku
Bw.Kenyata akiapishwa kuwa Raisi, kama wale wanaopigana na kuvunjana miguu siku Chelsea ya Ulaya ikifungwa manake Waafrika hamchelewi!
 
Hakuna round ys pili kwa maana mshindi anatakiwa awe amepats angalau 50% ya kura + kura moja na awe ameshinda country votes 24 hivyo vyote ameshapita.
"Among other things, they are questioning the one million voters who voted only for president and no other position," said a close aide to Odinga, adding that the appeal would likely be filed at Kenya's highest court on Wednesday.

Mr Kenyatta, who avoided a second round run-off vote by the slimmest of margins to win a majority with just 50.07 per cent
 
ni kubwa kwa sababu 1% ilikuwa inaenda na kura lak1 na kura lak1 n kama vituo 2 vikubwa so lak8 na ushee n vituo kama 17 so how much jamaa kaiba kila kituo? thats 1. second jamaa zake wa vituon wameshasain zile form kukubaliana na matokeo vituon so?
#kumbuka alishasema kabla ya uchaguz ya kwamba kuna mpango wa kumwibia, alipobanwa akasema hana uhakika
#mara bada ya uchaguz gap ilipohit lak5 akasema computer inadanganya. mara machine zikafa so who hacked them?
#kuhesab manual gap ilipo hit lak3 kalonzo anasema manual systen sio ya kikatiba
#chief agent wake alishakubali manual system
iv huon n story ya mfa maji au tim iliyofungwa then wanasingizia uwanja ulikuwa na tope kamakwamba hao wengine walikuwa wanachezea mbinguni . he has lost atulie kama ananyolewa

ANKOJEI: mimi nafikiri tusubiri uamuzi wa Mahkama, kwani ni haki ya mtu kwenda mahakamani, sisi tunazungumza POROJO hapa,tunatwanga maji ndani ya kinu tu mjomba, (we shouldn't waste our energy ).
 
Fursa bado zipo nyingi sana ndani na nje ya Kenya kwa Mh.RAILA ODINGA.

Cha msingi kwake ni kuutafakari upya ushindi wa Mh.UHURU KENYATA na

kumpongeza kwani haukuwa ushindi wake bali ni wa Kenya yote kwa kuwa

umeionesha dunia jinsi gani wakenya walivyo wamoja ukiachilia

mbali tofauti zao zote.


Kama haya hapa yalitokea Raila ana haki ya kudai haki za wapiga kura wake mahakamani
https://www.jamiiforums.com/kenyan-...na-afisa-aliyesimamia-eneo-2.html#post5886670
Sasa sijui kama mahakama nayo haitakua kama hawa
 
Back
Top Bottom