Kenya 2022 Raila Odinga akiri kujifunza kwa Hayati Magufuli

Kenya 2022 Raila Odinga akiri kujifunza kwa Hayati Magufuli

Kenya 2022 General Election
Ajifunze yote na kupoteza watu.
Yaani mnaamini vitu vya uongo, Dkt Magufuli hakuwahi kupoteza watu ila genge hili la waliomuua walipoteza watu na mpaka leo wanaendelea kupoteza na kuua ila vyombo vya habari kwa sababu ni vyao hawatoi ripoti. Ukweli ulishajulikana enyi wahuni
 
Raila bwana kaingizwa cha kike na akina Uhuru sasa hivi kura ataibiwa na hatakuwa na ubavu wa kuwaingiza wajaluo barabarani kuandamana
Maoni haya kutoka kwako ni baada ya Raila ku mquote Magufuli ? Tuna kazi kubwa ya kufanya kwenye fikra zetu.
 
Odinga ni kubwa jinga fulani lililobahatika kupendwa na wajaluo wenzie, Kenyans sidhani kama watamchagua huyu.

Mhuni Kenyata na wahuni wenzie wamemuingiza King naye kajaa mzima anapigwa za mbavu kwishney.
Unabwabwaja buda
 
Back
Top Bottom