Raila Odinga angepewa Urais angekuwa pandikizi la Tanzania, Kenya ingekuwa koloni la Tanzania

Raila Odinga angepewa Urais angekuwa pandikizi la Tanzania, Kenya ingekuwa koloni la Tanzania

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Natumia fursa hii kuwapongeza wakenya,

Raila ni pandikizi la Tanzania, msithubutu kumpa urais, ogopeni Rais anayetafuta urais kutokea nje ya Kenya

Raila alikuwa lazima kawekewa masharti ya kuihujumu Kenya ili asaidiwe katika Urais wake

Hongera sana wakenya, huyu Raila ni pandikizi la Tanzania

Mwaka 2016 kabla ya uchaguzi wakenya alikuwa analala na kuamka Tanzania, anapanga mipango ya kuhujumu Kenya, anataka kuiuza Kenya kwa majirani

James Orengo aliwahi kuhifadhiwa na Tanzania enzi ya Nyerere, huyo hakuna shaka ni pandikizi mwenzie

Tanzania imetapakaza watu wake kila nchi ukanda huu, Kenya ndio imekuwa ngumu, na Raila ndio alikuwa kapewa kazi, tangu uhuru wa Kenya Tanzania imeshindwa kuinfluence siasa ya Kenya.

Sasa pandikizi Raila naye anazeeka, labda tutafute mwingine, Kalonzo kamkimbia baada ya kumjua ni pandikizi.
 
Kama mnadhani uhuru ameshinda mtashangaa sana wiki hii inayo kuja
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Mkuu umefikiri kidogo sana..

Raila sio mjinga!
[emoji23][emoji23] ndio nashangaa kwasababu

Uhuru bado hajatangazwa mshindi

Wafula Chebukati anaweza kata kumtangaza na ahepe kenya kama akombe
Pili

Hata akitangazwa

Kuna kesi kortini tayari ilio funguliwa jana kuukata ushindi wake mara ya pili!!

Na wakati huu kuna evidence kibao kila mahali

Including 3.7mn people nyanza ambao hawakupiga kura kwakua kulikua na vita

Katiba yasema lazima all constituency zipige kura!!

....

Istoshe Raila atajiapisha serikali
Ya kenya haiwezi tumia Jeshi kwa vitu vya ndani ya nchi polisi pekee Wakianza kutumia jeshi kenya itajigawa ....so

Kuna options kibao


KAMA MNADHANI UHURU AMESHINDA

AMA ATAKUWA RAIS MTASHANGAAAAA
 
Mkuu umefikiri kidogo sana..

Raila sio mjinga!
Raila na Babake tangu 1963

Walipo jitoa KANU ya kenyatta na kuunda KADU wamekuwa opposition leaders tangu Kenya izaliwe

Mnadhania eti Uhuru pekee ndio atamtoa

.....hamuoni hata hasumbuki kuenda kortini raundi hii wabunge wajubilee wameanza kurudi kusema tukubali matokeo [emoji23] hakuna atakaye kubali

Na trust me on this Mwaka Ujao Kutakua na Uchaguzi mwingine

RAILA AKISEMA hua inafanyika


Always !!!!

Kura baada ya siku 90
 
[emoji23][emoji23] ndio nashangaa kwasababu

Uhuru bado hajatangazwa mshindi

Wafula Chebukati anaweza kata kumtangaza na ahepe kenya kama akombe
Pili

Hata akitangazwa

Kuna kesi kortini tayari ilio funguliwa jana kuukata ushindi wake mara ya pili!!

Na wakati huu kuna evidence kibao kila mahali

Including 3.7mn people nyanza ambao hawakupiga kura kwakua kulikua na vita

Katiba yasema lazima all constituency zipige kura!!

....

Istoshe Raila atajiapisha serikali
Ya kenya haiwezi tumia Jeshi kwa vitu vya ndani ya nchi polisi pekee Wakianza kutumia jeshi kenya itajigawa ....so

Kuna options kibao


KAMA MNADHANI UHURU AMESHINDA

AMA ATAKUWA RAIS MTASHANGAAAAA
We utakua mjaluo tuu afu govi....
Katiba haijasema county zote zipige kura....imeweka percentage ya county ngapi zipige kura ili quoram itimie
 
just shut up
Mtaona Kura in 90 days .
.
.
.
Uthamaki yako haitishii mtu
.
.
6cb2c22159898260a11963a616025f5a.jpg


Mnaeza fanyia wajaluo hivi tu sisi wengine jaribuni huu ujinga wakutuua muone .....
 
We utakua mjaluo tuu afu govi....
Katiba haijasema county zote zipige kura....imeweka percentage ya county ngapi zipige kura ili quoram itimie
All 290 constituensies must vote
A total of 24 constituencies must give the winner a lead for him to become president
 
natumia fursa hii kuwapongeza wakenya,

Raila ni pandikizi la Tanzania,msithubutu kumpa urais,ogopeni Rais anayetafuta urais kutokea nje ya kenya

Raila alikuwa lazima kawekewa masharti ya kuihujumu kenya ili asaidiwe katika Urais wake

hongera sana wakenya,huyu Raila ni pandikizi la Tanzania
Hivi unayeongea upumbafu huu ni mtanzania ama mkenya. Kama ni mtanzania ukapimwe akili yako
 
Si kweli, msaada gani ambao rais wa Ke angeutaka toka Tz.
 
We utakua mjaluo tuu afu govi....
Katiba haijasema county zote zipige kura....imeweka percentage ya county ngapi zipige kura ili quoram itimie
kweli kabisa,akipata 25'percent ya kaunti kadhaa tu,na hizo kaunti zilizogoma ni chache tu,tena waliamua wenyewe hawakunyimwa haki hiyo
 
Kama mnadhani uhuru ameshinda mtashangaa sana wiki hii inayo kuja
Weka akiba ya maneno jombaa hii ni Africa

Alipo walegezea akakubali uchaguzi urudiwe mlimuona fala eeh

Sasa hivi ni piga ua garagaza hawezi kubali ujinga
 
Weka akiba ya maneno jombaa hii ni Africa

Alipo walegezea akakubali uchaguzi urudiwe mlimuona fala eeh

Sasa hivi ni piga ua garagaza hawezi kubali ujinga
Ngoja muone hii wiki mko hapa!!!

Ama mnaenda mahali??..Moi alishindwa kuweza Raila

Kibaki aliekuwa Deputy president wa moi 1980s alisema Raila kuitosha multi partysm ni impossible ....

In 1992 when Raila won for multi partysm Kibaki aliji uzulu Kutoka chama cha Moi na kuunda chama chake Siku hyo hyo .m...Moi used to torture people kuke nyayo house

Moi arrested Raila for 9yrs


Uhuru ni cake walk ngojeni mtaona!!
 
narudia tena,hongera wakenya
 
Back
Top Bottom