Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
Nafikiri sasa mtakuwa mmeelewa na Shein ni Rais aliyeshinda kihalali kama Uhuru. Maana mkiukataa ule mkakubali huu ni vitukooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wajaluo wanajivunia uchawi na uganga,kila siku anabeba ndoo za ulozi analeta tanzania,tutamsachi airport mbele ya waandishi wa habariNgoja muone hii wiki mko hapa!!!
Ama mnaenda mahali??..Moi alishindwa kuweza Raila
Kibaki aliekuwa Deputy president wa moi 1980s alisema Raila kuitosha multi partysm ni impossible ....
In 1992 when Raila won for multi partysm Kibaki aliji uzulu na kuunda chama chake moi used to torture people kuke nyayo house
Moi arrested Raila for 9yrs
Uhuru ni cake walk ngojeni mtaona!!
Again mm sio mjaluowajaluo wanavinia uchawi na uganga,kila siku anabeba ndoo za ulozi analeta tanzania,tutamsachi airport mbele ya waandishi wa habari
Maraga kapiga kura,ameona Raila mpuuziAgain mm sio mjaluo
And again
Of the 290 constituencies za Kenya zilizo piga Kura
167 of them recorded a voter turnout less than 42%
Sio maandishi yangu bali
Standard Newspaper
Imepublish All results kwa page 4 gazetti ya leo....
Nenda uangalie kama ni wajaluo pekee yao walio kataa kupiga kura
Mitanzania kujifanya kujua issue ya Kenya ni tiring sana sana when they are jusg bubbling stupidity!!
Hata mm mkenya lkn unachofanya ni uchochezi.Mama yangu ametokea wapi??
Umeona mkenya yeyote akitusi mama ya mtu hapa despite the fact that we arr disagreeing miTZ mnakuwanga na Utoto mwingi matusi ndio mumejaz kwa mdomo !!!
Mea akili
Mkuu kuna watu vilaza sana...mbona iyo ni simpo logic hakuna kitu 100% eti kaunti zote zipige ndo qoram itimie.....kweli kabisa,akipata 25'percent ya kaunti kadhaa tu,na hizo kaunti zilizogoma ni chache tu,tena waliamua wenyewe hawakunyimwa haki hiyo
raila anatumika kuvuruga kenyaMkuu kuna watu vilaza sana...mbona iyo ni simpo logic hakuna kitu 100% eti kaunti zote zipige ndo qoram itimie.....
ndo mana mara nyingi wanasema ili jambo fulani lipitishwe lazima say theluthi mbili (2/3) itimie...mana wanajua fika hakunaga 100%
Mbna unawapa matumaini kama ya Maalim?[emoji23][emoji23] ndio nashangaa kwasababu
Uhuru bado hajatangazwa mshindi
Wafula Chebukati anaweza kata kumtangaza na ahepe kenya kama akombe
Pili
Hata akitangazwa
Kuna kesi kortini tayari ilio funguliwa jana kuukata ushindi wake mara ya pili!!
Na wakati huu kuna evidence kibao kila mahali
Including 3.7mn people nyanza ambao hawakupiga kura kwakua kulikua na vita
Katiba yasema lazima all constituency zipige kura!!
....
Istoshe Raila atajiapisha serikali
Ya kenya haiwezi tumia Jeshi kwa vitu vya ndani ya nchi polisi pekee Wakianza kutumia jeshi kenya itajigawa ....so
Kuna options kibao
KAMA MNADHANI UHURU AMESHINDA
AMA ATAKUWA RAIS MTASHANGAAAAA
Ww tatizo unaleta ukabila amekwenda kwa mahakama,mahakama ikaamua uchaguzi urudiwe hakufungua kuwa tume ile iondolewe haya wamekwenda hadi trh 20 bado siku sita anajitoa hilo ni kosa la nani?kama c kutaka madaraka kwa uradhima?Raila kwa ss ni simba mzee hafai tena wacha ende zake kashndwa aanzisha maneno mengi c asubiri ili aende kwa mahakama tena?uhumi ss washuka nyie jaruo ndo mnaopiga kelele sana lkn amini msiamini mmeshindwa.Unajiaibisha, shows how lowlife you are, debate kisomi.
Wajaruo mmekamatwa trip hii mtatembea hata uchi mpaka hayo matai yenu mtayatupa.Hakuna mkenya mpuuzi huku JF kama wewe. Wewe ni bongo lala ingine inayoweza log in JF
Utavyo sema lkn ndo ukweli huo hakuna mtelemko hapo.Chunga vidole vyako kijana mdogo!
intelijensia ya kenya inazuia tanzania kuitawala kaenya kama burundi;kongo,rwanda msumbiji na uganda,Bahati yao...
Kwann umequote comment yangu mkuu, maana naona comment yako inajibu uzi...!intelijensia ya kenya inazuia tanzania kuitawala kaenya kama burundi;kongo,rwanda msumbiji na uganda,
raila naye zezeta,anasema anaunda national resistance movement anataraji kuna mtu atatoa boda yake kumpa silaha wakati ICC na UN wamejaa boda zote mipakani
rais mzee kama raila anafaa kutega vitendawili na wajukuu,sio kuongoza nchiWw tatizo unaleta ukabila amekwenda kwa mahakama,mahakama ikaamua uchaguzi urudiwe hakufungua kuwa tume ile iondolewe haya wamekwenda hadi trh 20 bado siku sita anajitoa hilo ni kosa la nani?kama c kutaka madaraka kwa uradhima?Raila kwa ss ni simba mzee hafai tena wacha ende zake kashndwa aanzisha maneno mengi c asubiri ili aende kwa mahakama tena?uhumi ss washuka nyie jaruo ndo mnaopiga kelele sana lkn amini msiamini mmeshindwa.
Basi kumbe kula like mkuu.tunasherekea ushindi,
Kwann umequote comment yangu mkuu, maana naona comment yako inajibu uzi...!
All 290 constituensies must vote
A total of 24 constituencies must give the winner a lead for him to become president