Raila Odinga angepewa Urais angekuwa pandikizi la Tanzania, Kenya ingekuwa koloni la Tanzania

hizi sifa zote kwa Raila n yet urahisi hajaupata?...just like Matiba in 1997 alivyosusia uchaguzi na yeye kafuata mkondo ule ule...
 

Hizi thread za baada ya kushtua mambo ya Jamaica mtuhurumie mbavu zetu jamani
 
Tena wasimpe kabsa huyu jamaa nae anataka kuiga ka udikteta uchwara ka tz
 
huu uzi utakua umeanzishwa na mwana chadema...mlijifanya kumgeuka raila mkachagua upande wa kuwafanya muonekane wajinga...huu uchaguzi mnaukubali afu ule wa jecha mnaukataa yaan nyie mnasikitisha sana
umerogwa
 
Cyokweli mtoa mada ucongee ucchokijua, raila hakuanza leo harakat zake ni zaid y miaka ishirin iliyopita, so thus time passed alikuwa pandikizo pia au cz now days anapata support n kwenu.
 
Cyokweli mtoa mada ucongee ucchokijua, raila hakuanza leo harakat zake ni zaid y miaka ishirin iliyopita, so thus time passed alikuwa pandikizo pia au cz now days anapata support n zuzu wenu,
alikuwa anakesha Tanzania kutafuta nini kama sio kupewa maelekezo ya jinsi ya kutawala kenya?
 
Watanzania wengi mbumbumbu wa siasa za Kenya. Raila ndio baba wa demokrasia Kenya. Mchango wake kupigania demokrasia Kenya utatambuliwa milele daima.
 
Watanzania wengi mbumbumbu wa siasa za Kenya. Raila ndio baba wa demokrasia Kenya. Mchango wake kupigania demokrasia Kenya utatambuliwa milele daima.

Hakupigania demokrasia hata kidogo bali alirukia bandwagon na baadaye akachukua credit for it.

Baba sasa amezeeka wacha aende bondo akatulize huko kama wakongwe wenzake kina Moi,Kibaki na Musikhari Kombo.
 
Watanzania wengi mbumbumbu wa siasa za Kenya. Raila ndio baba wa demokrasia Kenya. Mchango wake kupigania demokrasia Kenya utatambuliwa milele daima.
Raila hana historia yoyote ya kutukuka,aliandaa waganga wa kumroga kenyatta lakini wakachemka
 
Unaota ndoto Za mchana. Huyo Raila wenu keshalewa uraisi atausikia redioni !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…