BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Mgombea Urais kupitia Azimio, Raila Odinga amefanikiwa kumpita William Ruto kwa idadi ya Kura baada ya kuwa nyuma kwa masaa kadhaa
Hadi kufikia leo saa 6:30 mchana Odinga alikua na kura 6,431,752 (49.46) akifuatiwa na William Ruto mwenye Kura 6,389,957 (49.14%)
Prof. Wajackoyah Kura 56,430 (0.43%) na Mchungaji David Waihiga alikua na Kura 28,973 (0.22%). Kwa mujibu wa Citizen mpaka sasa jumla ya Kura 12,907,112 kati ya Milioni 14 zimehesabiwa.
Hadi kufikia leo saa 6:30 mchana Odinga alikua na kura 6,431,752 (49.46) akifuatiwa na William Ruto mwenye Kura 6,389,957 (49.14%)
Prof. Wajackoyah Kura 56,430 (0.43%) na Mchungaji David Waihiga alikua na Kura 28,973 (0.22%). Kwa mujibu wa Citizen mpaka sasa jumla ya Kura 12,907,112 kati ya Milioni 14 zimehesabiwa.