Chief Sanze
JF-Expert Member
- Jun 13, 2014
- 1,668
- 3,736
Tanzania mazuzu wengi sana ebu angalia leo kuna wajinga wanalilia jitu lilokuwa litesaji na liuwaji na liloona wapinzani kama ni mbwa mwitu tu wasiotakiwa kuonewa huruma na hawastahili haki yoyote liliona nchi ni mali yake binafsi na kikundi chake tu.
Ona sasa unavyobweka hovyo wewe kamanda uchwara.Si tulishakubaliana wewe ni katika wale vijana wa hovyo?
"Wewe huna mchango wowote kwa taifa hili."
Umeuliza swali zuri sana.Kwa nini unichagulie wewe pa kwenda kujifunza? Kwani nikitaka kujifunza Lesotho inakuhusu wewe nini? Hivi akili zenu ni majina tu?
Umeuliza swali zuri sana.
Kwanini Watanzania wajifunze Kenya kwenye siasa za Ukabila?
Kwamba mchango wako kwa taifa hili wewe hapo ni upi?Ona sasa unavyobweka hovyo wewe kamanda uchwara.
Tufanye maandamano tulale njaa.Hatimaye maandamano yasitishwa. Somo limeeleweka. Ruto kaona umuhimu wa kuongea.
View attachment 2574297
Sisi tuendelee kusuburia maembe kwenye mnazi.
Raila agenda ni zile zile:
Raila suspends Azimio protests, to engage in dialogue with Ruto
Bila kukomaa itakuwa mwendo wa kulialia tu kama kwetu.
Siri ya mafanikio yao ni uwepo wa nguvu ya umma ya uhakika.
Kwani mada imeongelea maiti mfu na maiti hai?Ni kweli, Tanzania ni nchi ya maiti hai.
Tufanye maandamano tulale njaa.
Yaani wewe uchwara mchango wako ni humu humu mtandaoni tuπππKwamba mchango wako kwa taifa hili wewe hapo ni upi?
Bure kabisa!
Wapi niliposema kuongea na Kabila?Ruto na Gachagua wamekubali kuongea na kabila?
Jibu hojaTuacheni ujuaji ndugu zangu. Kujidhania kuwa mwerevu kuliko umati huu:
View attachment 2574360
una jina lake linaloweza kuwa siyo zuri sana masikioni mwako.
Na ndio tunasema, hakuna anayejielewa akadai yeye karogwa! Vilevile kuwa, wewe si MtanzaniaWanaosema watanzania tumerogwa wana hoja.
Wasikilizwe!
Wakomae kwanza bei za vyakula kama Kenya ndio sawaHuku viongozi wakomae kuhusu katiba na tume huru ya uchaguzi,wanasiasa wasiokua na dhamira njema na wananchi,wakae pembeni,wenye dhamira wakae front.
Asante kwa kuweka wazi uhalisia wakoKwa mtanzania, yeyote ni mjinga isipokuwa yenye.
The dude has issues.Wapi niliposema kuongea na Kabila?
Jibu swali au uache haya uliyoyabandika ππ
Jibu hoja
Na ndio tunasema, hakuna anayejielewa akadai yeye karogwa! Vilevile kuwa, wewe si Mtanzania
π
Asante Kwa kutambua kuwa inafahamika kutoka kwenye utambulisho wako nini kitegemeweAsante kwa kuweka wazi uhalisia wako
Ana pesa mpaka ataziachaKwa hiyo ndo unga utashuka. Raila anatafuta madaraka apate hela alishe na kusomesha watoto wake shule nzuri. Kuna wajinga wameuawa, kuna wajinga wameachwa vilema, wwngine wanauguza maumivu hospitali ila wenye nchi wanaenda kuongea mezani wanafanya hand shaking maisha yanasonga
Matanzania ni majitu ya ajabu sana, yanaishi kama kuku wa kienyeji. Hayawezi kuanzisha mageuzi yoyote dhidi ya serikali ya kifisadi ya CCM.Hatimaye maandamano yasitishwa. Somo limeeleweka. Ruto kaona umuhimu wa kuongea.
View attachment 2574297
Sisi tuendelee kusubiria maembe kwenye mnazi.
Raila agenda ni zile zile:
Raila suspends Azimio protests, to engage in dialogue with Ruto
Bila kukomaa itakuwa mwendo wa kulialia tu kama kwetu.
Siri ya mafanikio yao ni uwepo wa nguvu ya umma ya uhakika.
Wapi niliposema kuongea na Kabila?
Jibu swali au uache haya uliyoyabandika ππ
Jibu hoja
Na ndio tunasema, hakuna anayejielewa akadai yeye karogwa! Vilevile kuwa, wewe si Mtanzania
π