Raila Odinga atangaza kusitisha maandamano

Tanzania mazuzu wengi sana ebu angalia leo kuna wajinga wanalilia jitu lilokuwa litesaji na liuwaji na liloona wapinzani kama ni mbwa mwitu tu wasiotakiwa kuonewa huruma na hawastahili haki yoyote liliona nchi ni mali yake binafsi na kikundi chake tu.
 

Kuna na mengine hapa Magonjwa Mtambuka johnthebaptist UmkhontoweSizwe na ya namma hiyo yana jina lao.

Hayana mchango wowote kwa taifa hili.
 
Umeuliza swali zuri sana.
Kwanini Watanzania wajifunze Kenya kwenye siasa za Ukabila?

Ruto na Gachagua wamekubali kuongea na kabila? Tuacheni ujuaji ndugu zangu. Kujidhania kuwa mwerevu kuliko umati huu:



una jina lake linaloweza kuwa siyo zuri sana masikioni mwako.

Wanaosema watanzania tumerogwa wana hoja.

Wasikilizwe!
 
Bongo wakati wa maandamano ilikua ni awamu iliyopita. Saivi hilo swala limerudi tena nyuma
 
Ruto na Gachagua wamekubali kuongea na kabila?
Wapi niliposema kuongea na Kabila?
Jibu swali au uache haya uliyoyabandika πŸ‘‡πŸ™„
Tuacheni ujuaji ndugu zangu. Kujidhania kuwa mwerevu kuliko umati huu:

View attachment 2574360

una jina lake linaloweza kuwa siyo zuri sana masikioni mwako.
Jibu hoja
Wanaosema watanzania tumerogwa wana hoja.
Na ndio tunasema, hakuna anayejielewa akadai yeye karogwa! Vilevile kuwa, wewe si Mtanzania
Wasikilizwe!


πŸ‘‡
 
Huku viongozi wakomae kuhusu katiba na tume huru ya uchaguzi,wanasiasa wasiokua na dhamira njema na wananchi,wakae pembeni,wenye dhamira wakae front.
Wakomae kwanza bei za vyakula kama Kenya ndio sawa
 
Ana pesa mpaka ataziacha
 
Matanzania ni majitu ya ajabu sana, yanaishi kama kuku wa kienyeji. Hayawezi kuanzisha mageuzi yoyote dhidi ya serikali ya kifisadi ya CCM.
 
Wapi niliposema kuongea na Kabila?
Jibu swali au uache haya uliyoyabandika πŸ‘‡πŸ™„

Jibu hoja

Na ndio tunasema, hakuna anayejielewa akadai yeye karogwa! Vilevile kuwa, wewe si Mtanzania



πŸ‘‡

Post Yako #36 ingalipo irejee kuyatambua unayoniuliza tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…