Chief Sanze
JF-Expert Member
- Jun 13, 2014
- 1,668
- 3,736
Tanzania mazuzu wengi sana ebu angalia leo kuna wajinga wanalilia jitu lilokuwa litesaji na liuwaji na liloona wapinzani kama ni mbwa mwitu tu wasiotakiwa kuonewa huruma na hawastahili haki yoyote liliona nchi ni mali yake binafsi na kikundi chake tu.