Raila Odinga atangaza kusitisha maandamano

Vurugu tupu, na viongozi wengine waliobaki wanaulizia michongo ya futari sio katiba mpya tena
hahahahaha, wameona asali haiwatoshi, skuizi wanafukuzia mpaka futari, haki nimecheka
 
Inaonekana keki ni tamu sana
 
Matanzania ni majitu ya ajabu sana, yanaishi kama kuku wa kienyeji. Hayawezi kuanzisha mageuzi yoyote dhidhi ya serikali ya kifisadi ya CCM.
Eti na yenyewe yanajiita mapinzani; upuuzi mtupu.
 
Wapi hapo niliposema Ruto na Gachagua wamekubali kuongea na kabila?

Haya ni maandishi yako:

"Umeuliza swali zuri sana.
Kwanini Watanzania wajifunze Kenya kwenye siasa za Ukabila?"

Tunajifunza kuwa hatimaye Ruto na Gachagua wameona waongee yaishe.

Wewe umesema tujifunze nini hapo? Ukabila siyo? Ndiyo huo niliokunukuu. Kwani wewe uliandika je hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…