Raila Odinga atangaza kusitisha maandamano

Raila Odinga atangaza kusitisha maandamano

Vurugu tupu, na viongozi wengine waliobaki wanaulizia michongo ya futari sio katiba mpya tena
hahahahaha, wameona asali haiwatoshi, skuizi wanafukuzia mpaka futari, haki nimecheka
 
Upo sahihi. Walakin, siwezi kujifunza kuwa mtovu wa nidhamu au kuasi Serikali yangu kwa kisasi binafsi. Na bila kumumunya, ninaona nguvu nyingi sana au niseme mbinu, unazoweka ni zile za uharakati, yaani ni zile za kichochezi alimradi watu watwangane ili kufikiwe maridhiano au suluhisho wa kile.. unachokiona Watanzania hatuna.....kwani.....Ni ushahidi tosha kwa uzi wako huu wa kukubali matokeo yalyotokekana na Vurugumechi za Odinga na sasa Ruto kutaka kupata suluhisho kupitia Bunge au Uwakilishi rasmi wa Bungeni Umefikiwa.

Tujifunze kuwa na Ukabila Fulani?
Tujifunze kuwa na Vurugu kila wakati tunatofautiana?

Kwanini Watanzania tujifunze kuwa vituko?
Inaonekana keki ni tamu sana
 
Wapi hapo niliposema Ruto na Gachagua wamekubali kuongea na kabila?

Haya ni maandishi yako:

"Umeuliza swali zuri sana.
Kwanini Watanzania wajifunze Kenya kwenye siasa za Ukabila?"

Tunajifunza kuwa hatimaye Ruto na Gachagua wameona waongee yaishe.

Wewe umesema tujifunze nini hapo? Ukabila siyo? Ndiyo huo niliokunukuu. Kwani wewe uliandika je hapo?
 
Back
Top Bottom