The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Tanzania hakuna shidaKenya ni Kenya
Tanzania ni Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania hakuna shidaKenya ni Kenya
Tanzania ni Tanzania
Matanzania ni majitu ya ajabu sana, yanaishi kama kuku wa kienyeji. Hayawezi kuanzisha mageuzi yoyote dhidhi ya serikali ya kifisadi ya CCM.
hahahahaha, wameona asali haiwatoshi, skuizi wanafukuzia mpaka futari, haki nimechekaVurugu tupu, na viongozi wengine waliobaki wanaulizia michongo ya futari sio katiba mpya tena
Me muosha vyombo
hahahahaha, wameona asali haiwatoshi, skuizi wanafukuzia mpaka futari, haki nimechekaVurugu tupu, na viongozi wengine waliobaki wanaulizia michongo ya futari sio katiba mpya tena
Me muosha vyombo
Sio hayo tu mkuu. Orodha ni ndefu sana:Kuna haya ma akina SYLLOGIST! Magonjwa Mtambuka na myenzao haina mchango wowote kwa taifa hili.
Sio hayo tu mkuu. Orodha ni ndefu sana:
MOTOCHINI, jingalao, @Ruttashobolwa, Lizaboni, TataMadiba, Ritz, FaizaFoxy, Simiyu Yetu, MwanaDiwani, Stroke imhotep Magonjwa Mtambuka Mgambilwa ni mntu Musiba
Inaonekana keki ni tamu sanaUpo sahihi. Walakin, siwezi kujifunza kuwa mtovu wa nidhamu au kuasi Serikali yangu kwa kisasi binafsi. Na bila kumumunya, ninaona nguvu nyingi sana au niseme mbinu, unazoweka ni zile za uharakati, yaani ni zile za kichochezi alimradi watu watwangane ili kufikiwe maridhiano au suluhisho wa kile.. unachokiona Watanzania hatuna.....kwani.....Ni ushahidi tosha kwa uzi wako huu wa kukubali matokeo yalyotokekana na Vurugumechi za Odinga na sasa Ruto kutaka kupata suluhisho kupitia Bunge au Uwakilishi rasmi wa Bungeni Umefikiwa.
Tujifunze kuwa na Ukabila Fulani?
Tujifunze kuwa na Vurugu kila wakati tunatofautiana?
Kwanini Watanzania tujifunze kuwa vituko?
Kwa nini unichagulie wewe pa kwenda kujifunza?
Wapi hapo niliposema Ruto na Gachagua wamekubali kuongea na kabila?Umeuliza swali zuri sana.
Kwanini Watanzania wajifunze Kenya kwenye siasa za Ukabila?
Duh.Kuna haya ma akina SYLLOGIST! Magonjwa Mtambuka na myenzao haina mchango wowote kwa taifa hili.
Eti na yenyewe yanajiita mapinzani; upuuzi mtupu.Matanzania ni majitu ya ajabu sana, yanaishi kama kuku wa kienyeji. Hayawezi kuanzisha mageuzi yoyote dhidhi ya serikali ya kifisadi ya CCM.
Wapi hapo niliposema Ruto na Gachagua wamekubali kuongea na kabila?
Haiwezi kuwa chungu mkuu. Piga picha Gachagua alivyokuwa kakomaa au kina Wassira. Si bure!Inaonekana keki ni tamu sana
Sasa vile viroboto vya “baba” vitajificha wapi?Haiwezi kuwa chungu mkuu. Piga picha Gachagua alivyokuwa kakomaa au kina Wassira. Si bure!
Hilo si jina la balozi wenu kule karibu na Zambia? Imekuwa je tena?Sasa vile viroboto vya “baba” vitajificha wapi?
Unajifanya hujui?Hilo si jina la balozi wenu kule karibu na Zambia? Imekuwa je tena?
Hayo ni majina yenu mnayajua wenyeweUnajifanya hujui?
Wewe kamanda uchwara acha kujibaraguza.Hayo ni majina yenu mnayajua wenyewe