Raila Odinga atangaza kusitisha maandamano

Raila Odinga atangaza kusitisha maandamano

Aliyesaliye sarenda ni aliyeomba mazungumzo ambapo ni ruto akisema yuko tayar kwa mazungumzo aliyokuwa anakataa.na raila kasema ni kwa wiki ijayo tu asipokubali kufungua seva jumatatu ijayo tukutane CBD
 

Attachments

  • Screenshot_20230402-201652_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20230402-201652_WhatsApp.jpg
    129.2 KB · Views: 2
Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga ametangaza kusitisha maandamano yaliyokuwa yameratibiwa kufanyika kesho Jumatatu, na kuwakataka Wakenya kuendelea na shughuli zao za kawaida.

Tangazo hili linakuja dakika chache tu baada ya Rais William Ruto kumuomba Raila asitishe maandamano, alisema yupo radhi kuzungumza na Upinzani kwa kusudi la kuangazia baadhi ya kero zao.

"Tumefurahishwa na usemi wa Ruto kwamba Yuko tayari kuzungumza nasi." Amesema Odinga.

Ikumbukwe Odinga alikuwa amesema Jana kwamba maandamano ya Jumatatu yatakuwa ndio 'mama wa maandamano yote'
Afadhali[emoji1548]
 
Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga ametangaza kusitisha maandamano yaliyokuwa yameratibiwa kufanyika kesho Jumatatu, na kuwakataka Wakenya kuendelea na shughuli zao za kawaida.

Tangazo hili linakuja dakika chache tu baada ya Rais William Ruto kumuomba Raila asitishe maandamano, alisema yupo radhi kuzungumza na Upinzani kwa kusudi la kuangazia baadhi ya kero zao.

"Tumefurahishwa na usemi wa Ruto kwamba Yuko tayari kuzungumza nasi." Amesema Odinga.

Ikumbukwe Odinga alikuwa amesema Jana kwamba maandamano ya Jumatatu yatakuwa ndio 'mama wa maandamano yote'
Mzee bado anakomaa na kutaka Urais tu 😀😊,hajakubali kama Urais umemkataa
 
Nairobi.
Leo Mh William Ruto ametoa kile ninachokichukulia kama kauli muhimu tangu uchaguzi mkuu kuitimiahwa hapa nchini mwetu.
View attachment 2574322

Tumekutana na kusikiliza kundi mbali mbali ya Wakenya wakiwemo viongozi wa kidini kuhusu mzozo unaokumba nchi yetu -Mh. Raila Amolo Odinga.

Kutokana na kauli hiyo muzee kaamua kuweka siraha yale chini na kumsikiliza kijana wake kisiasa ambaye ni Rais wa Kenya W. Ruto.


===============

Pia unaweza kusoma...
Very stupid reporter .aliyeweka siraha chini kwanza sio aliyekubali mazungumzo ruto ??
 
Kwa hiyo ndo unga utashuka. Raila anatafuta madaraka apate hela alishe na kusomesha watoto wake shule nzuri. Kuna wajinga wameuawa, kuna wajinga wameachwa vilema, wwngine wanauguza maumivu hospitali ila wenye nchi wanaenda kuongea mezani wanafanya hand shaking maisha yanasonga

Waliokuwa wamekataa mazungumzo sasa wameweka mikono juu.

Mengine ya bei kushuka ni baada ya mazungumzo. Haraka za nini sasa ndugu?
 
Dunia ni kijiji tunajifunza hadi Mongolia, iwe Kenya ndugu?

Upo sahihi. Walakin, siwezi kujifunza kuwa mtovu wa nidhamu au kuasi Serikali yangu kwa kisasi binafsi. Na bila kumumunya, ninaona nguvu nyingi sana au niseme mbinu, unazoweka ni zile za uharakati, yaani ni zile za kichochezi alimradi watu watwangane ili kufikiwe maridhiano au suluhisho wa kile.. unachokiona Watanzania hatuna.....kwani.....Ni ushahidi tosha kwa uzi wako huu wa kukubali matokeo yalyotokekana na Vurugumechi za Odinga na sasa Ruto kutaka kupata suluhisho kupitia Bunge au Uwakilishi rasmi wa Bungeni Umefikiwa.

Tujifunze kuwa na Ukabila Fulani?
Tujifunze kuwa na Vurugu kila wakati tunatofautiana?

Kwanini Watanzania tujifunze kuwa vituko?
 
Naona povu tayari 🤣🤣

Kukutambua utanzania wako halisi hakuwezi kuitwa povu. Hii ni sifa ya utanzania tunayojivunia:

"Ujuaji."

Kwa mtanzania, yeyote ni mjinga isipokuwa yenye.

Kwani sifa yako yako huijui ndugu? Tembea kifua mbele. Wasifu wako wauvuaje yakhe?

Mkuu umetuwakilisha.
 
Upo sahihi. Walakin, siwezi kujifunza kuwa mtovu wa nidhamu au kuasi Serikali yangu kwa kisasi binafsi. Na bila kumumunya, ninaona nguvu nyingi sana au niseme mbinu, unazoweka ni zile za uharakati, yaani ni zile za kichochezi alimradi watu watwangane ili kufikiwe maridhiano au suluhisho wa kile.. unachokiona Watanzania hatuna.....kwani.....Ni ushahidi tosha kwa uzi wako huu wa kukubali matokeo yalyotokekana na Vurugumechi za Odinga na sasa Ruto kutaka kupata suluhisho kupitia Bunge au Uwakilishi rasmi wa Bungeni Umefikiwa.

Tujifunze kuwa na Ukabila Fulani?
Tujifunze kuwa na Vurugu kila wakati tunatofautiana?

Kwanini Watanzania tujifunze kuwa vituko?

Asante kwa kutambua kuwa niko sahihi. Hiyo ni hatua njema.

Utovu wa nidhamu ni relative. Inategemea umesimama wapi:

Screenshot_20230322-230708.jpg


Kwani wewe uko upande gani hapo ndugu?
 
Back
Top Bottom